Kahama VS Njombe/Mafinga

Wacha Sumbawanga iendelee kuwapelekea moto tuu Hadi Mkimbie jukwaa.πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯

Siku mkijenga Barabara Kali kama hizi ndio mje kushindana na SumbawangaπŸ‘‡
 
Huna exposure wewe, wenzio huko tushatoka miaka mingi. Kadiria kiwango Chako cha uazimu mkuu utakuwa chizi usipokuwa makini. Nakutahadharisha tuπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Huna exposure wewe, wenzio huko tushatoka miaka mingi. Kadiria kiwango Chako cha uazimu mkuu utakuwa chizi usipokuwa makini. Nakutahadharisha tuπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Hunaga hoja zaidi ya matusi.Nasisitiza Kanda ya Ziwa yote hakuna Barabara Kali kama za swax.

Endeleeni kuumia ,Swax kunazidi kuchaπŸ‘‡
 
Agricultural town inajulikana, serikali haiwezi invest kwenye irrigation scheme kwa mji kama Kahama. Huku tunaangalia logistic, financial hub na kuweka miundo mbinu ya kubeba hizo shughuli.
Nimecheka eti logistics and such upuuzi 🀣🀣.

Logistics ipi iliyopo Kahama kuisidi Tunduma lango kuu la SADC?
 
Mbeya mjini mpaka leo mnalilia maji??πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›
Ukistaajabu ya Musa utayaona ya filauni mapank.

Yaani unashangaa Mbeya jiji ambao hawana Ziwa Wala Mto mkubwa uache kushangaa Mwanza na Lake zone yote inayozungukwa na Ziwa Kwa 70% yet hawana maji ya kunywa?πŸ˜‚πŸ˜‚

Acha vioja leta hoja πŸ‘‡
 
Kwa miji yenu ata mkipata tuvimiradi twa nyumba kama hizi lazima uringe, lakini huku tuipost nyumba kama zako unazopost itakuwa ni kujishushia heshima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…