Kahama VS Njombe/Mafinga

Watu wa mbeya ...
kumbe mbeya pazuri hivi na mlikuwa kimya...sijapenta hii tobia
 
Mbeya inajulikana nchi nzima na Duniani kote .kuwa ni zizi linaloitwa jiji

Sio Mimi ila ni wadau mbalimbali wanoijua mbeya vizuri View attachment 2471853
Tofauti ya kahama na mbeya ..ni viazi mviringo tu
nunueni magari kwanza
View attachment 2471863
Jiji la mwisho Kwa usafi View attachment 2471887
Sasa hao wote na wewe mna tofauti gani?

Wote hamjui vigezo vya Jiji ,

Wanaozingumzia Slum labda Kama hawajawahi fika Mwanza au Dar maana mauchafu ya slums za huko huwezi kuta Mbeya..

Mwisho waambie huko kwenye Majiji Yao ukiacha Dar na Dom unafuata Mbeya kwa kuwa na dual carriage way ya zaidi ya km 32 Katikati ya Jiji.
 

Ni Lini mbeya imefikia hivyo vigezo
 
Endelea kujifariji
kasafishe mitaa kwanza
 
Wakat mbeya mkijifariji na barabara ya njia nne mwanza kujengwa hospitali nyngne ya rufaa ya mkoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…