Kahama VS Njombe/Mafinga

Hiyo reli inakuja kufanya Nini huko? Kubeba samaki au? 🀣🀣
 
Masikini unahangaika mdogo wangu. ...Kikomo chenu ni huu mradi
View attachment 2462592
Kila siku tunakwambia hko sisi hatuna shida nako TAZARA ipo Bomba la mafuta lipo ziwa lipo Sasa Cha kutuzid ni Nini zaidi ya sisi kuwa zidi nyie maana saiz huku lami zimemwagila mzee tayari mikoa inaenda kuwa busy mara mbili yake mfano Barabara ya songea road kutoka makambako hadi msumbiji saiz inakuwa lami yote ambayo ni km 417 sawa na morogoro to makambako mwingiliano unaenda kuongezeka zaidi bado makete had mbeya afu kyera hadi kiwira bandarin Kuna njombe hadi ludewa kwenye madini inaendelea kujengwa bado ya lupembe ko hku soon shida ya Barabara Inakuwa haipo wilayo zote wame link kwa lami mzee na nchi jiran ko saiz mabasi ya kwenda msumbiji na baadhi ya maeneo ya malawi yatakuwa yanapita songea road na siku moja yanatoboa mzee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…