Musoma na shyUkiacha Bukoba ambayo iligaragazwa na Sumbawanga,Kuna Manispaa gani huko Kanda ya Ziwa ya Kuizidi Songea?
Songea MC πView attachment 2460870View attachment 2460872View attachment 2460873View attachment 2460874View attachment 2460875View attachment 2460876View attachment 2460877View attachment 2460878View attachment 2460879View attachment 2460880View attachment 2460881View attachment 2460882View attachment 2460883
Toa upuuzi wako,hizo Ni Vijiji vilovyochangamka Hakuna Miji hapoMusoma na shy
Musoma na sUkiacha Bukoba ambayo iligaragazwa na Sumbawanga,Kuna Manispaa gani huko Kanda ya Ziwa ya Kuizidi Songea?
Songea MC πView attachment 2460870View attachment 2460872View attachment 2460873View attachment 2460874View attachment 2460875View attachment 2460876View attachment 2460877View attachment 2460878View attachment 2460879View attachment 2460880View attachment 2460881View attachment 2460882View attachment 2460883
Iyo songea yenyewe ni kijiji2 naona vumbi jekundu2 hapo.Toa upuuzi wako,hizo Ni Vijiji vilovyochangamka Hakuna Miji hapo
Kama hivyo ni vijiji bas tz hakuna miji,ukitoa dsm,mwanza,arusha na dom.Toa upuuzi wako,hizo Ni Vijiji vilovyochangamka Hakuna Miji hapo
Musoma na Shinyanga Ni Vijiji vilivyochangamka..Kama hivyo ni vijiji bas tz hakuna miji,ukitoa dsm,mwanza,arusha na dom.
bola shy na musoma kuliko hapo songea maake naona mapikpik2Musoma na Shinyanga Ni Vijiji vilivyochangamka..
More pics of Songea MCπ
View attachment 2461192View attachment 2461193View attachment 2461194View attachment 2461195View attachment 2461196View attachment 2461197
Mbona watu wengi wanaokaa Songea wanapafurahia?Nimekaa songea miaka mitatu ni mji mbaya sana kumepauka sana na hakuna maendeleo yoyote
Mimi nimesema Miaka 4 Songea Boys,kwa kipindi hicho haikuwa na Maendeleo makubwa Ila Sasa hivi Ina Maendeleo maana Barabara zote za kwenda Mtwara na MbambaBay Ni lami..Nimekaa songea miaka mitatu ni mji mbaya sana kumepauka sana na hakuna maendeleo yoyote
Huyo jamaa ana wivu tuu.Mbona watu wengi wanaokaa Songea wanapafurahia?
Mkuu, una chuki binafsi na Songea ww
Hii Barabara ni ya muhimu Sana maana kunawafanyabiasha wa msumbiji. Ilo walazimu wakazungukie tunduma au kyela saiz wataMambo mazuri yanakuja πView attachment 2460780
Yani HiYo Barabara ikikamilika itawarahisishia Sana watu wa msumbiji walikuwa wanazungukia tunduma au kyera saiz itaku rahis sanaMambo mazuri yanakuja πView attachment 2460780
Hivyo vituo vya afya vimejengwa nchinzima,viva magufuli, viva samiaHuyo jamaa ana wivu tuu.
Anadahau kwamba Mkoa wa Ruvuma upo kumi Bora ya Mikoa yenye GDP kubwa Tanzania na pia Per Capita yake iko vizuri..
Vituo vya Afya πView attachment 2461330View attachment 2461331View attachment 2461332View attachment 2461333View attachment 2461334View attachment 2461335View attachment 2461336View attachment 2461337View attachment 2461338View attachment 2461339View attachment 2461340
Haina tofauti na mtubwi, kwanza linamuundo mbaya kama pantoni.Endelea kuumia kwa mtima nyongo na kijiba Cha roho.
Here we go πView attachment 2459640View attachment 2459641