Watu wanailaum mbeya!badala wailaum selikal,maana ndiyo yenyejukumu la kubolesha miundombinu pamoja na huduma za jamii kabla ya kuipandisha na baada ya kuipandisha hadhi.ukiangalia mji wa eldoret nchini kenya, utajiuliza why sio jiji, ingikua bongo wangeisha ipa hadhi ya jiji kitambo.