Kahama VS Njombe/Mafinga


Huko milimani wanajengewa barabara za mawe kama hii ya igogo.
Wamepelekewa maji na umeme, wanajengewa vyoo vya kisasa kila familia na kuungiwa maji,
Sasa hivi kwa sababu wana maji wanahimizwa kupanda miti.
Na hizo ni juhudi za mwauwasa.

Jiji nao wana mpango wa kujenga maghorofa ili hizo familia kwa baadae zihamishwe.

Na kwa kadri Bugando inavyokua inaimeza igogo taratibu.

At least mwanza we are doing something tofauti na nsalaga.
 
Iringa
..watu wa mbeya juu ,hamuiependi iringa ..koz inawazidi vingi
..leta CBD ya kuzid hapa we nsalaga boy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…