The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,434
- 10,965
Si unakumbuka Mambo ya Jiwe ili kuwafurahisha hao mburula Ila haina vigezo hata kidogoHii ni manispaa ya mchongo tu hata modern CBD hamna Yani miji mingi itawakalisha Sana Tena sana
View attachment 2432299
Huo ubongo wako umejaa kinyesi yaani huo utopolo na uswazi uliotamalaki mimi kitombile niuonee wivu, ata hivyo sio kosa lako nikosa la kukosa exposure ya mazingira na maeneo mbalimbali, huo ujinga wenu sijui utawaisha lini? Unajisifu kwa huo ujinga tusikuambie.Si bado unaumwa saratan ukipona utaelewe t na wivu unakusumbua tupia round about ya kahama ikiwepo naacha kuchangia huu uzi
Unajipigilia msumari wa matakoni mwenyewe, hii urbanization ya kahama unaweza kulinganisha na mji wowote wa huko machaka ya kusini, wewe ndio wale wanaolinganisha dhahabu na parachichi.Haha hii ndo kahama ambayo mnaisifu duh kazi ipo
View attachment 2432272
Haya madaraja yameanza kuwa fashion.
Wilaya ya Momba Songwe π
Leta modern cbd ya tunduma, njombe, mbeya na makambako, na kama ikiizidi hii ya kahama nitajitoa jf daima.Hii ni manispaa ya mchongo tu hata modern CBD hamna Yani miji mingi itawakalisha Sana Tena sana
View attachment 2432299
Wewe una akili kama za fisi maji kwa taarifa yako haya majengo ya kizwazwa ni ya kawaida sana lakini kwa watu wa kusini ni vitu vigeni na wala hamkuzoea kuviona, pia naona umekuwa zuzu kabisa kwa furaha baada ya kuona kwa mara ya kwanza shule za magorofa zikijengwa kusini.Kwa kina Kitombile kule Ukerewe hii wangeita Hospital ya Wilaya ππ.
Momba DC hiki Ni kituo Cha Afya huko Kijijini.
Kazi inaendeleaπ
Tuoneshe majengo ya kawaida ya ya Ukerewe au kwimba naona unavuja Sana π€ͺπ€ͺWewe una akili kama za fisi maji kwa taarifa yako haya majengo ya kizwazwa ni ya kawaida sana lakini kwa watu wa kusini ni vitu vigeni na wala hamkuzoea kuviona, pia naona umekuwa zuzu kabisa kwa furaha baada ya kuona kwa mara ya kwanza shule za magorofa zikijengwa kusini.
Hii kitu ni hatari sana lakini poleni kwa kucheleweshewa maendeleo kwa miongo kadhaa naona sasa mnaanza kulamba asali.
Shida sio Yako kuto yajua maeneo nayo ni shida ambayo haihitaji uanze kutoa koment na kama huku master geography Hilo nalo ni tatizo utaishia kutoa matusi wakati unahitaji kupewa elimuHuo ubongo wako umejaa kinyesi yaani huo utopolo na uswazi uliotamalaki mimi kitombile niuonee wivu, ata hivyo sio kosa lako nikosa la kukosa exposure ya mazingira na maeneo mbalimbali, huo ujinga wenu sijui utawaisha lini? Unajisifu kwa huo ujinga tusikuambie.
Unapajua Isamilo?Kwa hiyo wewe kwako hapa Kuna Nini Kama sio uswazi? Hii sio Isamilo? Umeanza kukana kwenu baada ya kuona mauchafu?π
Huyu Famba anajifanya anaijua Mwanza kuliko sisi Isamilo ambayo Spika wake wa Bunge kachukua kiwanjaa, Isamilo is better than the whole CBD of MbeyaMwambie Tulia kachoka kuishi kwenye slum kachukua kiwanja Isamilo
Endeleeni kujitoa ufahamu ππ.
Kama hapo Ni Town centre na huku Ni wapi? π
Jaribu kulinganisha CBD yenu uchwara na Isamilo Neighbourhood , Isamilo ni 10Γ better kuliko CBD yote ya MbeyaEndeleeni kujitoa ufahamu ππ.
Kama hapo Ni Town centre na huku Ni wapi? π
Yaani CBD ya Mbeya inamajengo Machache ya Ghorofa inazidiwa na Isamilo neighbourhoodEndeleeni kujitoa ufahamu ππ.
Kama hapo Ni Town centre na huku Ni wapi? π
Sasa ndo keshanunua KiwanjaaHana hiyo jeuri Wala hawezi kufanya huo ujinga wa Kuhama Mbeya aje kuishi kwenye saratani huko
Ha haha kahama yenye makorongo Kila Kona na vumbi la kutosha ndo ulinganishe na miji ya huku shida sioUnajipigilia msumari wa matakoni mwenyewe, hii urbanization ya kahama unaweza kulinganisha na mji wowote wa huko machaka ya kusini, wewe ndio wale wanaolinganisha dhahabu na parachichi.
Huu mji mkubwa kama huu huko nyanda za juu kusini itawachukua karne nzima na hii picha japo ni ya zamani lakini bado kahama ni bora sana na sasa kuna lami kila kona.
Endeleeni kulima maparachichi kaxi ya maendeleo na kujenga waachie wana kahama.