Kahama VS Njombe/Mafinga

Hiv vitu sio vya kusifia hata kidogo...hapo mnakuza uchumi wa china na watu wake kwa kufanya huo uchuuzi...

Ningewaona wamaana sana kama wangefungua viwanda vinavyotumia malighafi za hapa nchini..na nyie mkielekea huko china mnaenda na kitu cha kuwauzia..sio mnaenda mikono mitupu halafu mnarudi na bidhaa zao...ambazo nazo nyingi ni feki...


Kwa kuangalia maendeleo binafsi hao watu wachache wataonekana matajiri kwa huo uchuuzi...lakin kwa maendeleo ya jumla tutabaki maskini tu miaka yote...

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Kwenye swala la biashara mtu hapangiwi mzee ni soko huria ndo maana ukija mikoa ya nyanda za juu kusini kwa Sasa utakutana na viwanda vingi vya wachina na wakenya hasa maeneo haya mafinga ,makambako na mtwango viwanda vinaanzishwa Kila siku
 
Maabara ya Utafiti ya Chuo Kikuu Huria OUT kujengwa Njombe..

Makao Makuu ya Kanda zote watajenga Maabara kwa Nini wameruka Mbeya?πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20221130-071308.png
    176.7 KB · Views: 10
Bwege leta VETA ya wilaya ya billion 4 kutoka huko mpauko zone
Veta ya Wilaya ya Mbarali Ni sawa na Veta ya Mkoa wa Simiyu 😁😁.

Picha zinaongea zenyewe πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20221130-072100.png
    173.2 KB · Views: 10
  • Screenshot_20221130-072108.png
    173 KB · Views: 10
  • Screenshot_20221130-071743.png
    179.6 KB · Views: 10
Sio maneno yangu Bali Ni ya wadau wakiizungumzia Njombe.

Njumbe hapigwi maweπŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20221130-065008.png
    212.7 KB · Views: 9
  • Screenshot_20221130-064938.png
    19.8 KB · Views: 9
Hayo maneno yako nayahifadhi coz unaelewa jinsi Ilemela inavoipiga Mbeya mbele na Nyuma
 
Sindano imepenya yaani Mbeya level ake Ilemela, Njombe yote ni sawa na Nyegezi
 
Maneno ya serikali haya
 
Madishi hayo ndio mnaita station?
.

Tuna reli kitambo sana
Toa Ushamba hapa ....vitu kwako ni mashikolo mageni .... mwanza sio size yenu in everything.....

Proposed Mwanza university of science and healthy studies ...

Endeleeni kusubiri matawi ya udsm yawajengee vyuo
.huku ni private economy Kama US vile
 
Makaratasi as usual 😁😁😁😁😁.

Bora na Kigoma πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20221130-071605.png
    198.8 KB · Views: 9

Attachments

  • Screenshot_20221130-154410.png
    167.7 KB · Views: 9
  • 20221130_154320.jpg
    38.4 KB · Views: 10
  • 20221130_153547.jpg
    124.2 KB · Views: 11
  • 20221201_063508.jpg
    100.5 KB · Views: 10
  • 20221201_062649.jpg
    38.4 KB · Views: 10
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…