Kahama VS Njombe/Mafinga

Kuongeza watu bila quality ni mzigo kwa taifa.Tunawashukuru Kanda ya ziwa kwa kufyatua kisawasawa lakini Sasa tuleteeni quality Sasa.Kanda ya ziwa unakuta watu wako 30 familia Moja na katika hao hakuna mtaalamu wa fani yoyote.Mbaya zaidi unawakuta wamejenga cottage Fulani za miti,mabati ya kuweka na mawe juu wanasubiri binti aolewe ndio wawe na utajiri wa Ng'ombe tu Taifa haliwezi Kupigia hatua hivi I'm sorry to say this,pelekeni Shule watoto na muuche kuozesha watoto.Tujivunie population lakini tuongeze quality.Njombe idadi ndogo lakini yenye impact.Kiuhalisia Njombe Ina watu wengi sema tumesambaa mikoa mbali mbali kukusanya Hela.
 
Wanafunzi wenyewe wanabadilishiwa matokeo
 
Nyanda za juu mko wachache ila ndo mmejaza nyumba za tope mijini zisizo na mpangilio
 
Nadhani ule mjadala Mikoa mikubwa umefungwa rasmi.
Tuanze kujadili mengineyo sasa
 
Mkoa wa njombe ndo mkoa unaoendana vizuri na miundombinu yake anzia majengo huduma za afya nk sio mnakuwa wengi huduma hamna lazima mkoa uwe masikini tu
 

Attachments

  • FB_IMG_16672567741533766.jpg
    24.3 KB · Views: 8
  • FB_IMG_16672380392987318.jpg
    17.7 KB · Views: 8
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…