The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,516
- 14,183
Tunazalisha Sana ndio logic,kama wingi ni faida Kwa nini msizalishe Sana kulingana na nguvu Kazi yenu?Nilijua tu...takwimu za per capita zinaifavor njombe na kilimanjaro kwa sababu wana idadi ndogo ya watu....
Waliwaongezea watu hewa 400k ππHuoni kagera hapo inakaribia million 3.4...
Wakati reality ni 2.9m...
Ndo maama hata takwimu zao za umaskini huwa siziamini mimi?wanapika pika data ...Waliwaongezea watu hewa 400k
Mwanza imemegwa sana lakini idadi ya watu bado ipo juu, geita na simiyu kiujumla zina kama watu milioni 5.Idadi ya Watu
1. Dar es Salaam
2. Mwanza
3. Tabora
4. Morogoro
5. Dodoma
6. Kagera
7. Geita
8. Tanga
9. Kigoma
10. Arusha
Nyanda za juu kusini hakuna top 10 hata mkoa mmoja...
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Makazi bora bado dar na Mwanza zinaongoza kwa kila kitu, ila idadi ya gorofaπππ Mwanza inazidiwa na Tanga, kilimanjaro, arusha,πππππ hizi takwimu hizi
kabla ya kutoa Geita, Mwanza ilikuwa inaongoza kwa idadi ya watu mwaka 2002, Shinyanga pia ilikuwa ina watu wengi...Mwanza imemegwa sana lakini idadi ya watu bado ipo juu, geita na simiyu kiujumla zina kama watu milioni 5.
Soma takwimu za gorofa uone mnavo achwa na arushaMakazi bora bado dar na Mwanza zinaongoza kwa kila kitu, ila idadi ya gorofaπππ Mwanza inazidiwa na Tanga, kilimanjaro, arusha,πππππ hizi takwimu hizi
Hizi takwimu hiziπππ ni hatari adi Tanga na kilimanjaro ππππ wakati Mwanza walishaacha kujenga nyumba za kawaida kitambo sana, maeneo kama capripoint, bwiru, nyasaka, kirumba, nyegezi n.k ni nyumba za ghorofa tu.Soma takwimu za gorofa uone mnavo achwa na arusha
Hata Tanga na Kilimanjaro kuna ghorofa nyingi...Soma takwimu za gorofa uone mnavo achwa na arusha
Hizi takwimu zinafanya nisiamini ata matokea ya sensa hii.Soma takwimu za gorofa uone mnavo achwa na arusha
Kilimanjaro ni noma,Hawa ndio wanaojielewa kwenye masuala ya ustaarabu..
Mkuu Tupe Takwimu za Watu kwenye Miji.Soma takwimu za gorofa uone mnavo achwa na arusha
Makazi bora bado dar na Mwanza zinaongoza kwa kila kitu, ila idadi ya gorofaπππ Mwanza inazidiwa na Tanga, kilimanjaro, arusha,πππππ hizi takwimu hizi
Wasukuma na magorofa wapi na wapi Mzee?Hizi takwimu hiziπππ ni hatari adi Tanga na kilimanjaro ππππ wakati Mwanza walishaacha kujenga nyumba za kawaida kitambo sana, maeneo kama capripoint, bwiru, nyasaka, kirumba, nyegezi n.k ni nyumba za ghorofa tu.
Hizo miji nazijua mkuu ndio maana nikaweka doubts asee huko Tanga, arusha, moshi nimetembea sna huko napajua, Mwanza ina makazi bora sana kwa hapa Tanzania ukitoa Dar bila ushabiki.Wasukuma na magorofa wapi na wapi Mzee?
Usilinganishe Mikoa iliyostaarabika kitambo na nyie Wala michembe.
Makazi Bora au makazi mengi? Kwani kuwa mengi ndio necessarily kwamba ni bora?Hizo miji nazijua mkuu ndio maana nikaweka doubts asee huko Tanga, arusha, moshi nimetembea sna huko napajua, Mwanza ina makazi bora sana kwa hapa Tanzania ukitoa Dar bila ushabiki.
Ningetamani kuona hizo neighbourhoods za miji ya Tanga, Moshi na Arusha inayozidi Mwanza idadi ya gorofa.Makazi Bora au makazi mengi? Kwani kuwa mengi ndio necessarily kwamba ni bora?
Mwanza haiwezi kuzidi Tanga kwa Majengo ya ghorofa wewe,afu Tanga ina Halmashauri 11 vs 7 za Mwanza..
Afu nani kakwambia hizo ni Takwimu za Mjini pekee? Hizi ni Takwimu za Mkoa mzima.