Hizo road Kuna haja ya kuzifumua Ni sawa tu na za mitaani ndo maana Kuna siku niliwambia ule mkeka wa TAZAM ROAD Ambayo ndo barabara namba moja Tanzania wametendea haki na wakimalizia igawa to tunduma itakuwa burudan sehemu za mji zote wamepiga njia nne
Hizo road Kuna haja ya kuzifumua Ni sawa tu na za mitaani ndo maana Kuna siku niliwambia ule mkeka wa TAZAM ROAD Ambayo ndo barabara namba moja Tanzania wametendea haki na wakimalizia igawa to tunduma itakuwa burudan sehemu za mji zote wamepiga njia nneView attachment 2398037View attachment 2398038View attachment 2398039
Hapo umeongea point ndugu yangu, pamoja na kwamba natokea kanda ya ziwa ila na support hii barabara ipigwe njia nne,
Nafikiri wajitahidi wapige njia nne kuanzia moro mpaka Tunduma