Kahama VS Njombe/Mafinga

Hv mbeya mna kampuni kubwa ya ukandarasi wa barabara ya wazawa kuizidi nyanza contractor πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
Zipo za class 1 kabisa japo sio kubwa kwa level ya Nyanza..

Hao Nyanza ni kanjibai sijui wanakuaje wasukuma.hadi ujivunie πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hospital ya Rufaa ya Kanda Mbeya,
Hospital ya Rufaa ya Mkoa Mbeya,
Hospital ya Meta,
Hospital ya Ifisi,Mbalizi
Hospital ya Uyole,
Hospital ya Igawilo,
Hospital ya Maranatha,
K's Royal Hospital,
Uwata Hospital.
Makendza Clinic
πŸ‘‡
 

Attachments

  • IMG_20221016_100912_032.jpg
    1.5 MB · Views: 7
  • IMG_20221016_100741_608.jpg
    1.5 MB · Views: 7
Wakati wataalamu wakisubiria matokeo ya sensa tarehe 31 mwezi huu,haya ndiyo yanajadiliwa πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20221023-111023.png
    98.1 KB · Views: 9
  • Screenshot_20221023-110510.png
    102.5 KB · Views: 7
Hongera Sana Wazawa wa Mbeya Kwa jitihada zenu za kupambana πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20221023-100121.png
    118.7 KB · Views: 8
  • Screenshot_20221023-100145.png
    162.2 KB · Views: 8
Dual carriage 55Km,
Kwa hiyo kutoka hapa Kamanga hadi Mwanangwa ndio km 55?

Hakuna kitu kitakuwepo Mwanza ila kisiwepo Mbeya hata meli zipo Ziwa Nyasa..

Mwisho Wiki iliyopita Kulikuwa na Site Visit ya Wakandarasi kutoka Igawa hadi Tunduma kwa ajili ya ujenzi wa njia 4 km 272..

Kwa kuanzia tuu zitajengwa km 29 na ndani yake kutakuwa na Flyover..

Mbeya ya 2025 itakuwa tamu Sana πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20221023-182627.png
    141.9 KB · Views: 9
  • Screenshot_20221023-182137.png
    82.8 KB · Views: 8
  • Screenshot_20221023-182317.png
    139.6 KB · Views: 10
Inaanzia Mkuyuni kuelekea Mwanangwa njia nne
 
Hyo flyover itakuwa na km ngap? au ni madaraja kama ya furahisha na mabatini ambayo sisi tunayo hata sisi kwny hyo project ya km 55 madaraja ya juu yatakuwepo mkuyuni,nyegezi na buhongwa
 
Hyo flyover itakuwa na km ngap? au ni madaraja kama ya furahisha na mabatini ambayo sisi tunayo hata sisi kwny hyo project ya km 55 madaraja ya juu yatakuwepo mkuyuni,nyegezi na buhongwa
Ni pedestrian flyover.....waandishi wa habari wasikuchanganye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…