The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,516
- 14,183
Kwamba Mbeya sio level zenu,sie ni wakubwa siku nyingi ndio maana mnababaika na sgr wakati huku tuna reli kitambo sana.unajaribu kusemaje...?! sawa hakuna jengo kama hilo... sasa unahitimishaje...?!
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Pombe kali gani hizo...?!Kila siku nakuambia akili huna..
Nani kakuambia rate ya GDP ni constant kila mwaka?
Pili Shinyanga ndani yake kuna Simiyu wakigawana tuu hapo hakuna kitu...
Mwisho niletee kinda hata kimoja Cha Pombe kali hapo Mwanza kama ilivyo Mbeya.
Naanza kuwaza inawezekana ukawa na u 'lunatic' Mbeya ipi unaizungumzia...?! hata Iringa na Morogoro inaweza ikaizidi...Kwamba Mbeya sio level zenu,sie ni wakubwa siku nyingi ndio maana mnababaika na sgr wakati huku tuna reli kitambo sana.
Soma hiyoo π
Mwanza kuna kiwanda cha TBL kikubwa, Kuna SBL kuna Pepsi kuna Coca Cola, ukienda Shinyanga kuna viwanda vya vinywaji vikali kama Hanson's Choice na Diamond Rocks kinaitwa East African Spirits (T) Limited...Soma hiyoo
Kuna kiwanda Cha shimha pale nyakato...huyo jamaa ni mshamba sanaMwanza kuna kiwanda cha TBL kikubwa, Kuna SBL kuna Pepsi kuna Coca Cola, ukienda Shinyanga kuna viwanda vya vinywaji vikali kama Hanson's Choice na Diamond Rocks kinaitwa East African Spirits (T) Limited...
ukija soft drinks viwanda ni vingi...
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Kijiba Cha roho .Wivu.
Sasa haka kajengo kabaha kama Guest ndio inaweza kulingana na hilo Bonge la Jengo na lenye unique art?
Kuwa na aibu afu eti ndio mnajenga Leo
Reli Gani mliyo nayo ...kama sio Nyerere kufadhiliwa na mchina ..hyo reli mngeisikia tu .....huku reli Ina miaka mia kadhaa Toka mwingereza anatawala..ndo ujue tuko productive long agoKwamba Mbeya sio level zenu,sie ni wakubwa siku nyingi ndio maana mnababaika na sgr wakati huku tuna reli kitambo sana.
Tazara Cape gauge tena iko na nafasi ya kuwa upgraded to sgr.Reli Gani mliyo nayo ...kama sio Nyerere kufadhiliwa na mchina ..hyo reli mngeisikia tu .....huku reli Ina miaka mia kadhaa Toka mwingereza anatawala..ndo ujue tuko productive long ago
Vyote hivyo ulivyovitaja viko Mbeya kasoro sbl tuu..Mwanza kuna kiwanda cha TBL kikubwa, Kuna SBL kuna Pepsi kuna Coca Cola, ukienda Shinyanga kuna viwanda vya vinywaji vikali kama Hanson's Choice na Diamond Rocks kinaitwa East African Spirits (T) Limited...
ukija soft drinks viwanda ni vingi...
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Kiko wapi? πππKuna kiwanda Cha shimha pale nyakato...huyo jamaa ni mshamba sana
Utaishia huko huko kwenye historia ya zilipendwa ndio maana Nimekwambia leteni nyumba za watu binafsi mumeshindwa kuleta..Naanza kuwaza inawezekana ukawa na u 'lunatic' Mbeya ipi unaizungumzia...?! hata Iringa na Morogoro inaweza ikaizidi... View attachment 2394874
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
We jamaa ,ni falacy kweli ..tumekuletea apartment za watu binafsi Kali .we umeleta viramani uchwalaUtaishia huko huko kwenye historia ya zilipendwa ndio maana Nimekwambia leteni nyumba za watu binafsi mumeshindwa kuleta..
Mbeya ya Sasa ni next level Mzee.
Hunaga picha nyingine tofauti na hii? ππ.We jamaa ,ni falacy kweli ..tumekuletea apartment za watu binafsi Kali .we umeleta viramani uchwala
Niletee mtaa wenye nyumba Kali kama huu ilemela..hpo kijijini View attachment 2394941View attachment 2394944
ni next level kwa kina Rukwa... lakini sio Mwanza huo ndio ukweli, yaani pale Kabwe ndio next level...?!Utaishia huko huko kwenye historia ya zilipendwa ndio maana Nimekwambia leteni nyumba za watu binafsi mumeshindwa kuleta..
Mbeya ya Sasa ni next level Mzee.
Hapa ndio next levelni next level kwa kina Rukwa... lakini sio Mwanza huo ndio ukweli, yaani pale Kabwe ndio next level...?!
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Haya ni mabweni?, au HotelEden Highland Hotel π
Katikati ya Mashenzin StreetMahakama kuu Kanda ya Mbeya..
Hakuna jengo kama hili Kanda ya Ziwa yote.π
HIV ..walitumia vigezo Gani kuipa hadhi mbeya kuwa jiji..aisee mwandosya ,,,alizingua kinoma. ..mji mchafu ... kwenye mapato ya halimshauri ni ya mwisho