The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,516
- 14,183
Uko wapi huo ujenzi? Aisee haka kachuo kamekutoa maudenda sana khaa..Veta kagera Bukoba....
Na hapo ujenzi wa Chuo kikuu cha Dar es Salaam tawi la Bukoba umeanza...View attachment 2386093
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Bora hata barabara, ona hiki kituko cha njombeKweli umaskini haujifichi..
Wakati Mikoa ya Southern Highlands tuki enjoy barabara za lami kila mahala,Kagera wanakoita kuna Wasomi na watu wa kipato cho Kati wakaazi wake wanashangilia kupata hadi Barabara za mavumbi na maji ya Bomba...
Akina instabul na great haya waje na taarabu zao tena
Hebu Tazama hio view na background ya ziwa kwa nyuma...Bukoba ni pazuri sana...Uko wapi huo ujenzi? Aisee haka kachuo kamekutoa maudenda sana khaa..
Mikoa mingine ina veta miaka mingi tena zenye hadhi ya Kanda kama Vile Veta Mbeya kinafundisha hadi walimu wa kuja kufundisha hapo Veta yenu mpya.
Enjoying BUKOBA Municipality....Uko wapi huo ujenzi? Aisee haka kachuo kamekutoa maudenda sana khaa..
Mikoa mingine ina veta miaka mingi tena zenye hadhi ya Kanda kama Vile Veta Mbeya kinafundisha hadi walimu wa kuja kufundisha hapo Veta yenu mpya.
Ihungo Bukoba....Uko wapi huo ujenzi? Aisee haka kachuo kamekutoa maudenda sana khaa..
Mikoa mingine ina veta miaka mingi tena zenye hadhi ya Kanda kama Vile Veta Mbeya kinafundisha hadi walimu wa kuja kufundisha hapo Veta yenu mpya.
Kaizirege Bukoba....Uko wapi huo ujenzi? Aisee haka kachuo kamekutoa maudenda sana khaa..
Mikoa mingine ina veta miaka mingi tena zenye hadhi ya Kanda kama Vile Veta Mbeya kinafundisha hadi walimu wa kuja kufundisha hapo Veta yenu mpya.
Kwa akili zako unafikiri Kagera hapakuwa na VETA ya mkoa? Hiini VETA ya mfano Tanzania ndo maana waziri wa elimu wakati anahutubia amesema anaomba ijengwe VETA ya namna hii kila mkoaUko wapi huo ujenzi? Aisee haka kachuo kamekutoa maudenda sana khaa..
Mikoa mingine ina veta miaka mingi tena zenye hadhi ya Kanda kama Vile Veta Mbeya kinafundisha hadi walimu wa kuja kufundisha hapo Veta yenu mpya.
Ni mjinga na hajielewi huyo Waziri..Kwa akili zako unafikiri Kagera hapakuwa na VETA ya mkoa? Hiini VETA ya mfano Tanzania ndo maana waziri wa elimu wakati anahutubia amesema anaomba ijengwe VETA ya namna hii kila mkoa
Hapo ni Tanzania au ni Sudani mbona pamepauka hivoMapicha picha ya mashule sijui wanawake na maduka haviwezi kuondoa Umaskini Kagera..
Endeleeni kufanya mzaha wenzenu tuko na miradi serious..
Rukwa
Ila tuseme ukweli kusini kumepauka sanaWatu wa Kanda ya Ziwa Kusini kumenoga Sana..
Baadhi ya majengo ya ghorofa Mjini Tunduma
Saizi ni kiangazi hizo picha hazina poda ni live..Ila tuseme ukweli kusini kumepauka sana
Mnawezaje kuishi sehemu zilizopauka hivyo utazani upo nevada.Saizi ni kiangazi hizo picha hazina poda ni live..
Kumepauka ila kuna Pesa hatari.
Excuses ππππ.Mnawezaje kuishi sehemu zilizopauka hivyo utazani upo nevada.