Kahama VS Njombe/Mafinga

Huko mtaletewa magarasa,mpya zitaenda Njombe route fupi,huwa hataki shida..

Anakimbia SGR Effect ila angekuwa na akili angeweka route ya Mbeya-Kahama,Mbeya-Musoma via Lamadi na Sumbawanga to Dodoma..

SGR italeta mabus mapya mengi Sana Mkoani.
Unafikiri kuna mtu wa Bukoba atapanda gari mbovu mbovu
...


Dar lux sijui aliendaga wap...
Dar Bukoba kuna mabusi kibao tu na yanazidi kuongezeka na Kuna abiria wengi bila kuhesabu wale wanaopitia mwanza na kupanda meli hadi Bukoba...

Bila kusahau na abiria wengi wa ndege...imagine Bukoba ina abiria wengi wa ndege kuliko Dodoma na sio makao makuu wala mji mkubwa kivile..
 
Mbeya Kuna mtaa gani mzuri ,zaidi ya vumbi tu .leta hapa tuone .nimekuletea hyo poda hapo..mbalizi
au leo utasema mbalizi sio mbeya h
 
Mbeya Kuna mtaa gani mzuri ,zaidi ya vumbi tu .leta hapa tuone .nimekuletea hyo poda hapo..mbalizi au leo utasema mbalizi sio mbeya h
Mbalizi ni mbali Sana huko,shida picha za Mbeya nyingi haziko kwenye mtandao but nitakuja na picha za live..

Sio mtaa Bali Kuna mitaa..Uyole nzima ile haina slums kama ilivyo Mbalizi..

Ilemi iko vizuri,Tazara iko vizuri,Iwambi iko vizuri,Uzunguni,Forest mpya,forest ya Zamani,Block T,Na eneo loote kuelekea TEKU hakuna uswahili na pote ni Mjini hapo..
 
Usidhani mbeya hatuijui ..pale uyole ndo takataka kabisa ..
 
Ahsantee kwa maoni yako
 
Mbeya Kuna mtaa gani mzuri ,zaidi ya vumbi tu .leta hapa tuone .nimekuletea hyo poda hapo..mbalizi
au leo utasema mbalizi sio mbeya h
Hakuna aliyesema mbalizi sio mbeya,hata chunya pia ni mbeya,swali ni je mbalizi ni sehemu ya mbeya mjini? Au nikuulize unapozungumzia mbeya mjini mipaka yake ni ipi kuelekea tunduma,uyole na chunya
 
Kauli zako za matusi tu zinatosha kuonyesh wewe ni mtu usiyejitambua,labda nikusaidie kitu cha nyongeza,wilaya zote za mbeya zinajiweza kiuchumi hali inayopelekea uwekezaji kutawanyika maeneo tofauti,kwa lugha nyepesi tofauti ya mbeya jijin na wilaya zake sio kubwa,hili swala sizan kama lipo kwa mwanza kama unabisha pitia takwimu za mapato
 
Hakuna aliyesema mbalizi sio mbeya,hata chunya pia ni mbeya,swali ni je mbalizi ni sehemu ya mbeya mjini? Au nikuulize unapozungumzia mbeya mjini mipaka yake ni ipi kuelekea tunduma,uyole na chunya
Leo unasema mbalizi sio mbeya mjini ,
...nyie si mnasema mbeya ni kubwa inaanzia uyole hadi mbalizi
... nimekuletea hata mitaa ya mbeya mjini hapo juu ni hovyo tu hamna unafuu
 
Ungeleta figure,ningekuona wa maana...Kwa mapato yapi mmeipita mwanza maybe
TRA,GDP,au halmashauri .. ukiniletea figure yoyote inayodhihirisha Hilo .nitakaa kimya
 
Maji ya maiti yamewasababishia mtindio wa ubongo,wasamehe bure sio wao ni Kansa πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20211118-215300.png
    148.9 KB · Views: 17
Leo unasema mbalizi sio mbeya mjini ,
...nyie si mnasema mbeya ni kubwa inaanzia uyole hadi mbalizi
... nimekuletea hata mitaa ya mbeya mjini hapo juu ni hovyo tu hamna unafuu
Lini Mbalizi ni Mbeya Mjini? Usagara au Kisesa ni Mwanza Mjini?
 
Chuma kali zinawekwa kwa wakali nyie washamba komaeni na KISBO ndio inawafaa muwe mnaopanda na mifugo πŸ˜†πŸ˜†.

New babies in Town πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20220918-074712.png
    146.6 KB · Views: 15
  • Screenshot_20220918-075208.png
    99.5 KB · Views: 17
  • Screenshot_20220918-075245.png
    152.2 KB · Views: 18
  • 20220918_075430.jpg
    59.8 KB · Views: 18
  • 20220918_074717.jpg
    63.5 KB · Views: 18
  • 20220918_075121.jpg
    64.5 KB · Views: 15
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…