Kahama VS Njombe/Mafinga

Ingekuwa Bukoba wangeita Hotel ya Nshomile mmja hapo Mjini 😁😁.

Ila kwa Sumbawanga hili ni bweni la shule inayomilikiwa na RC chini ya shirika lao la Wabenedictine wa MvimwaπŸ‘‡
 

Attachments

  • IMG_20220827_153936_376.jpg
    792.2 KB · Views: 6
  • IMG_20220827_154224_528.jpg
    922.6 KB · Views: 6
Wewe Mzee bwana huwa unachelesha Sana sijui ndio uzee au Nini hasa? Hivi Chuo kujengwa na Mchina ndio inakuwa chuo Kikubwa kuliko vyote Tanzania?

Kwa hiyo like Chuo Cha Veta ambacho kikikuwa kinajengwa na Wachina kabla Ndalichako hajawatimua pale Sumbawanga ni chuo Kikubwa kuliko vyote Kisa Mchina ndio mkandarasi? 😝😝.

Mzee leta hoja zenye mashiko acha kuleta vioja..Kuhusu Vyuo Vikuu Wala usijari , Serikali inatekeleza mpango unaitwa HEET ambao unajenga Campuses za vyuo vikuu kwenye Mikoa yote ambayo haina hizo campus,hiyo Kagera ni sehemu ya huo mpango..

Project ina zaidi ya Bil.970 chini ya World Bank na inatekeleza kwa miaka 5..πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20220827-162020.png
    80.3 KB · Views: 6
  • Screenshot_20220827-162322.png
    49.3 KB · Views: 6
Ingekuwa Bukoba wangeita Hotel ya Nshomile mmja hapo Mjini
.

Ila kwa Sumbawanga hili ni bweni la shule inayomilikiwa na RC chini ya shirika lao la Wabenedictine wa Mvimwa
Ila huko kuna vumbi sana walai

Umenikumbusha kakonko huko kigoma kwenye kambi ya JKT...

Mnatia aibu

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Ila huko kuna vumbi sana walai

Umenikumbusha kakonko huko kigoma kwenye kambi ya JKT...

Mnatia aibu

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
We boya kweli kuna Mji gani hapa Tanzania ambao una lami kila mtaa?..Kwamba unashangaa Vumbi Tanzania?

Hii ni hospital ya Rufaa ya Kanda ya Ziwa lakini hakuna lami Wala maua kwenye viunga Wala pavement πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20220818-154154.png
    169.4 KB · Views: 6
  • Screenshot_20220808-081558.png
    125.2 KB · Views: 6
Wakati mgonjwa anajihisi kupona kumbe ndo kwanza anakufa
 
Ni lini Mwanza itapata route ya Tanga?

Mbeya to Tanga πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20220826-133628.png
    231.1 KB · Views: 7
Ina eneo kubwa la kukusanya mapato kuzidi hapo Ilemela..

Mwaka huu mtapigwa mbali zaidi maana ushuru wa parking ya magari umerudi Halmashauri na magari Mengi yapo njia yetu ya TANZAM
Eneo gani unazungumzia, Acha ushamba ilemela inatandika hicho kijiji cha wakulima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…