Kahama VS Njombe/Mafinga

Na bukoba mara mbili kwa siku...just imagine kila siku kwa mji kama bukoba..

Na hapo kuna precision air na auric
Kwa hiyo hicho kijiji cha Bukoba kina biashara kuzidi Mbeya sio? 😁😁😁😁..

Sababu ni ile ile mko kwenye makwapa ya Tanzania so usafiri wa ahueni ni ndege na sio mabasi mnayokaa njiani siku 2..

Mwanza ukitoka saa 12 unafika Dar saa 7 usiku sasa nani atataka kukaa masaa yote hayo?
 
Hii ilikuwa ya mwaka 2015 ..
Ongezea
Tungis ,tanzanite,,abood,fresters ,kvc,n.k na hizi kampuni Zina gari zaidi ya 3
 

Attachments

  • Screenshot_20220807-081227.png
    149.8 KB · Views: 16
  • 20220807_081236.jpg
    274.9 KB · Views: 14
  • 20220807_081239.jpg
    384 KB · Views: 13
  • 20220807_081231.jpg
    307.9 KB · Views: 14
  • 20220807_081234.jpg
    307.2 KB · Views: 15
Angalia Wafanyabiashara wa Dhahabu Chunya ni watu wa wapi wengi... na kule Igawa Mbarali wameshatimba tayari...

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Angalia Wafanyabiashara wa Dhahabu Chunya ni watu wa wapi wengi... na kule Igawa Mbarali wameshatimba tayari...

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Sisi tunataka pesa,sura za watu hazituhusu..

Ukitaka tuangalie sura unazingua maana Mwenyekiti wa wachimbaji wadogo ni mkinga wa Makete..

Wanunuzi wengi wakubwa wa madini ni Wajinga ila manamba wengi ni Wasukuma kama kawaida yao..

Mwisho Pesa inabakia Mbeya hayo mengine ni ya kwako.
 
acha uongo, pale Mbeya mjini kuna dealer wangapi...?! Chunya ndio center angalia ma dealer wa pale, jamaa wanachimba wananunua pia... hakuna manamba tu... nenda kwenye Elution za pale uone...

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Sauli ndio mabasi mengi...?!

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo japo umeona Sauli tuu?

Hizi ni baadhi tuu ya kampuni za Dar-Mbeya tena zina gari zaidi ya moja.

1.Sauli,
2.Newforce,
3.Happy Nation,
4.Majinja,
5.Green Line,
6.Tanzanite,
7.Dar lux,
8.Kilimanjaro Express
9.Master,
10.Imani,
11.Rungwe,
12.Platnumz,
13.Mbeya Express,
14.Jacob Express,
15.Selous/Superfeo,
16.AL Hushoon,
17.Al Saedy,
18.Abood,
19.JM Luxury,
20.New Galaxy.
 

Attachments

  • Screenshot_20220807-092608.png
    229.4 KB · Views: 11
  • Screenshot_20220807-092345.png
    154 KB · Views: 15
  • Screenshot_20220807-092231.png
    271.7 KB · Views: 14
  • Screenshot_20220807-092414.png
    162.6 KB · Views: 12
  • Screenshot_20220807-092135.png
    163.7 KB · Views: 12
  • Screenshot_20220807-095418.png
    149.5 KB · Views: 11
  • Screenshot_20220807-094139.png
    136.6 KB · Views: 13
  • 20220807_095333.jpg
    48 KB · Views: 14
acha uongo, pale Mbeya mjini kuna dealer wangapi...?! Chunya ndio center angalia ma dealer wa pale, jamaa wanachimba wananunua pia... hakuna manamba tu... nenda kwenye Elution za pale uone...

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Uongo gani?

Mbeya Mjini wawepo wa nini wakati Soko limeshajengwa Chunya?

Waziri Biteko kasema kuna dealers zaidi ya 60 Chunya na Mbeya Mjini wako kadhaa..

Mzee saizi Chunya ni namba 2 Kwa kuzalisha Dhahabu nyuma ya Geita.
 
Uongo gani?

Mbeya Mjini wawepo wa nini wakati Soko limeshajengwa Chunya?

Waziri Biteko kasema kuna dealers zaidi ya 60 Chunya na Mbeya Mjini wako kadhaa..

Mzee saizi Chunya ni namba 2 Kwa kuzalisha Dhahabu nyuma ya Geita.
Chunya iwe namba mbili Mara Tarime iwe namba ngapi????
 
Uongo gani?

Mbeya Mjini wawepo wa nini wakati Soko limeshajengwa Chunya?

Waziri Biteko kasema kuna dealers zaidi ya 60 Chunya na Mbeya Mjini wako kadhaa..

Mzee saizi Chunya ni namba 2 Kwa kuzalisha Dhahabu nyuma ya Geita.
pale Tume ya Madini kuna dealer mmoja kwa sasa, ukienda Chunya wachimbaji wengi ni wa kanda ya Ziwa...

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…