The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,516
- 14,183
Vyuo vya Kati kama hivyo vimejaa huko Mbeya,hata wewe unajua kwamba Mbeya ni hub ya Elimu..Huku private sector inafanya kazi ....View attachment 2300921
Duh! yaani mbao unalinganisha na dhahabu mkuu?!Yaani kwenye mapesa mengi ya mbao na kila mazao ndo ulinganishe na Kahama bush huko?
CBD ya Jiji la Mbeya linatofauti gani na Mbagala😂😂😂😂
Mapato yapiMkatae mkubali southernzone tunawalisha kanda ya ziwa nyote na mikoa yenu maana tunawakimbiza kwa kilimo na mapato pia.



ebu jumlisha hapDhahabu ya mzunguDuh! yaani mbao unalinganisha na dhahabu mkuu?!
Eti hao tumbili wa Saanane ndio wakisema wajitenge nilicheka hadi machozi..Mkatae mkubali southernzone tunawalisha kanda ya ziwa nyote na mikoa yenu maana tunawakimbiza kwa kilimo na mapato pia.
Unatia huruma sana ,Ona zaidi ya Bil.500 zinawekwa kwenye kilimo Mbeya![]()


Eti hao tumbili wa Saanane ndio wakisema wajitenge nilicheka hadi machozi..
Wanaweza kufa na njaa kama Wakenya![]()

yani hawa watu hawawezi kubali southernzone tunaongoza kwa kilimo na tunawalisha ukanda wao woteTutaendelea kuwachoma sindano hadi mkimbie Uzi..Unatia huruma sana ,![]()
Simiyu SI ndio Kuna Ile sehemu mnaita Gamboshi makao makuu ya washirikina.Nadhani wanahitaji Airport kwa kuwa wanahost wageni wengi😄😄😄Njombe ndio wanatukumbuka upande huu 😛😛😛
Siku nikichafukwa nawaletela na Airport ya Simiyu
Ni washirikina kuliko wapangwa wa ludewa nyumba nitu..kuliko wakinga wa makete sioSimiyu SI ndio Kuna Ile sehemu mnaita Gamboshi makao makuu ya washirikina.Nadhani wanahitaji Airport kwa kuwa wanahost wageni wengi![]()
Huwezi zungumzia Serengeti national park bila kuutaja mkoa wa Mara/ SimiyuSimiyu SI ndio Kuna Ile sehemu mnaita Gamboshi makao makuu ya washirikina.Nadhani wanahitaji Airport kwa kuwa wanahost wageni wengi😄😄😄