Kahama VS Njombe/Mafinga

wakati .. KAHAMA , tunamalizia fesability study ya stendi ya kisasa.nyegezi nayo ikimalizikia..musoma na bukoba wakianza process za ujenzi ...
.......hii ni moja ya stendi ya kisasa ya kanda ya ziwaView attachment 2295757View attachment 2295758
Ukweli usemwe tuu hata kama unapinga..

Haya majengo ya hiyo stand ni mabaya hayavutii..

Njombe na Mbeya hatutarajii kujenga mastand mabaya kama hiyo..

Ukiona stand za Iringa, Sumbawanga,Dodoma nk zinavutia.
 
KAHAMA ... transport corridor ya Rwanda.burundi ,DRC ,na Uganda.
 

Attachments

  • IMG_20220718_214708.jpg
    103.1 KB · Views: 10
Ukweli usemwe tuu hata kama unapinga..

Haya majengo ya hiyo stand ni mabaya hayavutii..

Njombe na Mbeya hatutarajii kujenga mastand mabaya kama hiyo..

Ukiona stand za Iringa, Sumbawanga,Dodoma nk zinavutia.
Mbeya mjenge nn...no such dream .. mtaendelea kupauka hapo nanenane.
 
Uwekaji .taa za barabarani .. manispaa ya Shinyanga ...
 
Mbeya mjenge nn...no such dream .. mtaendelea kupauka hapo nanenane.
Pole Sana mkuu,Miradi ya Tactic kwa Mbeya inahusisha stand na tayari mchakato uko mwishoni.

Hukusikia hata Bungeni kwamba Serikali imeanza mchakato wa kujenga stand yenye hadhi ya Jiji Mbeya?
 

Attachments

  • Screenshot_20220524-192137_1.jpg
    39.3 KB · Views: 12
  • D_HYimhXUAEbNAz.jpg
    114.7 KB · Views: 15
  • thumb_215_1130x480_0_0_auto.jpg
    177.3 KB · Views: 13
Pole Sana mkuu,Miradi ya Tactic kwa Mbeya inahusisha stand na tayari mchakato uko mwishoni.

Hukusikia hata Bungeni kwamba Serikali imeanza mchakato wa kujenga stand yenye hadhi ya Jiji Mbeya?
Never ....Hamna kitu kama hicho . mbeya sio strategic city ...ko miradi kama hyo mtaisikia tu....bora useme Arusha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…