Kahama VS Njombe/Mafinga

Rafiki yangu The Sunk Cost Fallacy sijajua shida ni elimu yako ama nini, au hujaelewa uzi unataka ufanye nini.
Sasa mambo ya Songea na Mbeya yanakujaje hapo kwenye uzi wetu?
Toa fact za Njombe sio unakimbilia kupost Mabasi ya Songea na barabara za Mbeya au ndio unaongezea nyama mji wako upate point za kutosha maana peke yake hauwezi
 
Waziri makamba akikagua mradi wa umeme ndani ya ziwa Victoria
 
Abadili uzi twende kwa zones tu, Southern Highland Vs Lake zone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…