Mapank
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 4,157
- 6,163
Under construction ni nyingi sana Gold city, sema siwekagi scraper ziko kwenye level ya skeleton.Umerudi baada ya mwaka na kagorofa kamoja 😆😆😆😆
Under construction ni nyingi sana Gold city, sema siwekagi scraper ziko kwenye level ya skeleton.Umerudi baada ya mwaka na kagorofa kamoja 😆😆😆😆
Haya ndio mavumbi huko kwenu?Naona bado mna matatizo ya vumbi
Siku Mwanza mkianza ujenzi wa dual carriage expressway njia 4 za Kam 30 mnitag..Under construction ni nyingi sana Gold city, sema siwekagi scraper ziko kwenye level ya skeleton.
Yaani unaongelea project ambazo mwanza zimekuwapo miaka mingi,.. airport road ina km 10 ni dual carriage na ina pedestrian flyover ,,,, fesability study ya usagara to town km 25 ishakamilka muda wowote anatangazwa mkandarasi ni dual carriage ..we unasema nnSiku Mwanza mkianza ujenzi wa dual carriage expressway njia 4 za Kam 30 mnitag..
Go Mbeya go![]()
Airport avenue ,dual carriage km 10Yaani unaongelea project ambazo mwanza zimekuwapo miaka mingi,.. airport road ina km 10 ni dual carriage na ina pedestrian flyover ,,,, fesability study ya usagara to town km 25 ishakamilka muda wowote anatangazwa mkandarasi ni dual carriage ..we unasema nn
Acha vichekesho vya kijinga wewe,unajua maana ya dual carriage expressway wewe kweli?Yaani unaongelea project ambazo mwanza zimekuwapo miaka mingi,.. airport road ina km 10 ni dual carriage na ina pedestrian flyover ,,,, fesability study ya usagara to town km 25 ishakamilka muda wowote anatangazwa mkandarasi ni dual carriage ..we unasema nn
Et express way ,,, tofauti na Morogoro road ,,inayojengwa sa hv kuna express way gani nyingine ...af usitufanye wajinga ,,mtu akisema dual (mbili) carriage (barabara) ,,kwa hyo usitutishe ,, barabara yoyote yenye njia mbili za kwenda na njia mbili kurudi inaitwa dual carriage ....tAcha vichekesho vya kijinga wewe,unajua maana ya dual carriage expressway wewe kweli?
Hiyo ya Mwanza inaweza lingana hata na hii ya Sumbawanga?![]()
Nimekwambia hapo Mwanza kuna barabara yeyote inafanana na hiyo nimekuwekea?Et express way ,,, tofauti na Morogoro road ,,inayojengwa sa hv kuna express way gani nyingine ...af usitufanye wajinga ,,mtu akisema dual (mbili) carriage (barabara) ,,kwa hyo usitutishe ,, barabara yoyote yenye njia mbili za kwenda na njia mbili kurudi inaitwa dual carriage ....t
Sasa hii barabara ya 1 km nayo ndio nini mbona unakuwa kama huna akili wakati, hiyo barabara niliiona juzi nilikuwa hapo sumbawanga mjini kweli wewe kichaa.Acha vichekesho vya kijinga wewe,unajua maana ya dual carriage expressway wewe kweli?
Hiyo ya Mwanza inaweza lingana hata na hii ya Sumbawanga? 👇
Ninawasiwasi na maendeleo yako.maana akili yako haifananii na hela. NB mbao ni fursa yenye hela nyingi sana.watu wengi wameanzia kwenye mbao.akina vunjabei na wakings wengi Tu wametajirikia huku.ndo waka ends mikoa mingine kuwekeza.... Porini kunahela mdogoangu Acha ulimbukeni WA kupenda miji.Kahama mzee unaisikia tu, kule hakukauki pesa na haijawahi kauka madini yapo ya kutosha.
Njombe kwenye mambao kitendo cha kusema ni sehemu ya mambao hii ina maana ni porini huko ulinganishe na sehemu yenye madini kama Kahama?
Una bahati mbaya nakujua NjombeKahama iko juu.
Hili povu ndio huwa nakupenda sasa 😂😂.Sasa hii barabara ya 1 km nayo ndio nini mbona unakuwa kama huna akili wakati, hiyo barabara niliiona juzi nilikuwa hapo sumbawanga mjini kweli wewe kichaa.
Yaani unaleta hoja zisizo na mashikoHili povu ndio huwa nakupenda sasa.
Hii ni dhahiri kwamba Mwanza hakuna barabara kama hiyo bali ,hata ile nyingine inayokutana na hiyo unayoisemea haipo huko Mwanza na wewe unajua![]()
Hayo machuma chuma ni matakataka don't call them Flyover..Yaani unaleta hoja zisizo na mashiko
Tumekwambia utupostie fly overs ya watembea kwa miguu kwenye kijiji chenu ,,,,hyo barabara ya sumbawanga ukitoa hizo taa panabak nini sasa
Ebu jibu na hizi picha sasaView attachment 2264802View attachment 2264803View attachment 2264804
Bas subiri siku mkijengewa ndo uje na hoja ndala zakoHayo machuma chuma ni matakataka don't call them Flyover..
We mjinga,hizo flyo over za kisasa zinatengwa sanjali na upanuzi wa barabara,Kwa hiyo usiwe nanharaka kama matapishi.