Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Attachments

  • IMG_20220529_114250_339.jpg
    IMG_20220529_114250_339.jpg
    1.1 MB · Views: 20
  • IMG_20220524_173524_646.jpg
    IMG_20220524_173524_646.jpg
    947.6 KB · Views: 19
  • IMG_20220529_114427_401.jpg
    IMG_20220529_114427_401.jpg
    1.6 MB · Views: 19
  • IMG_20220529_114457_067.jpg
    IMG_20220529_114457_067.jpg
    1.4 MB · Views: 17
  • IMG_20220529_114503_595.jpg
    IMG_20220529_114503_595.jpg
    1.6 MB · Views: 15
  • IMG_20220524_175106_500.jpg
    IMG_20220524_175106_500.jpg
    1.2 MB · Views: 16
  • IMG_20220524_174736_323.jpg
    IMG_20220524_174736_323.jpg
    929.9 KB · Views: 17
Under construction ni nyingi sana Gold city, sema siwekagi scraper ziko kwenye level ya skeleton.
Siku Mwanza mkianza ujenzi wa dual carriage expressway njia 4 za Kam 30 mnitag..

Go Mbeya go 👇
 

Attachments

  • IMG-20220608-WA0014.jpg
    IMG-20220608-WA0014.jpg
    56.5 KB · Views: 16
Siku Mwanza mkianza ujenzi wa dual carriage expressway njia 4 za Kam 30 mnitag..

Go Mbeya go
Yaani unaongelea project ambazo mwanza zimekuwapo miaka mingi,.. airport road ina km 10 ni dual carriage na ina pedestrian flyover ,,,, fesability study ya usagara to town km 25 ishakamilka muda wowote anatangazwa mkandarasi ni dual carriage ..we unasema nn
 
Yaani unaongelea project ambazo mwanza zimekuwapo miaka mingi,.. airport road ina km 10 ni dual carriage na ina pedestrian flyover ,,,, fesability study ya usagara to town km 25 ishakamilka muda wowote anatangazwa mkandarasi ni dual carriage ..we unasema nn
Airport avenue ,dual carriage km 10
IMG_20220617_023026.jpg
 
Yaani unaongelea project ambazo mwanza zimekuwapo miaka mingi,.. airport road ina km 10 ni dual carriage na ina pedestrian flyover ,,,, fesability study ya usagara to town km 25 ishakamilka muda wowote anatangazwa mkandarasi ni dual carriage ..we unasema nn
Acha vichekesho vya kijinga wewe,unajua maana ya dual carriage expressway wewe kweli?

Hiyo ya Mwanza inaweza lingana hata na hii ya Sumbawanga? 👇
 

Attachments

  • images - 2022-05-08T055546.156.jpeg
    images - 2022-05-08T055546.156.jpeg
    46.2 KB · Views: 17
  • images - 2022-05-08T055810.706.jpeg
    images - 2022-05-08T055810.706.jpeg
    38 KB · Views: 16
  • images - 2022-05-08T055824.545.jpeg
    images - 2022-05-08T055824.545.jpeg
    50.5 KB · Views: 16
Acha vichekesho vya kijinga wewe,unajua maana ya dual carriage expressway wewe kweli?

Hiyo ya Mwanza inaweza lingana hata na hii ya Sumbawanga?
Et express way ,,, tofauti na Morogoro road ,,inayojengwa sa hv kuna express way gani nyingine ...af usitufanye wajinga ,,mtu akisema dual (mbili) carriage (barabara) ,,kwa hyo usitutishe ,, barabara yoyote yenye njia mbili za kwenda na njia mbili kurudi inaitwa dual carriage ....t
 
Et express way ,,, tofauti na Morogoro road ,,inayojengwa sa hv kuna express way gani nyingine ...af usitufanye wajinga ,,mtu akisema dual (mbili) carriage (barabara) ,,kwa hyo usitutishe ,, barabara yoyote yenye njia mbili za kwenda na njia mbili kurudi inaitwa dual carriage ....t
Nimekwambia hapo Mwanza kuna barabara yeyote inafanana na hiyo nimekuwekea?

Kwa hiyo unabishana na Serikali waliosema wataanza kutoza Toll kwenye barabara ya TANZAM? Hiyo ni expressway ndio maana Itajengwa kuanzia Dara hadi Morogoro -Dodoma kuwa njia 4..

Then kuanzia Igawa-Mbeya-Hadi Tunduma kuwa njia 4
 
Acha vichekesho vya kijinga wewe,unajua maana ya dual carriage expressway wewe kweli?

Hiyo ya Mwanza inaweza lingana hata na hii ya Sumbawanga? 👇
Sasa hii barabara ya 1 km nayo ndio nini mbona unakuwa kama huna akili wakati, hiyo barabara niliiona juzi nilikuwa hapo sumbawanga mjini kweli wewe kichaa.
 
Kahama mzee unaisikia tu, kule hakukauki pesa na haijawahi kauka madini yapo ya kutosha.

Njombe kwenye mambao kitendo cha kusema ni sehemu ya mambao hii ina maana ni porini huko ulinganishe na sehemu yenye madini kama Kahama?

Una bahati mbaya nakujua Njombe Kahama iko juu.
Ninawasiwasi na maendeleo yako.maana akili yako haifananii na hela. NB mbao ni fursa yenye hela nyingi sana.watu wengi wameanzia kwenye mbao.akina vunjabei na wakings wengi Tu wametajirikia huku.ndo waka ends mikoa mingine kuwekeza.... Porini kunahela mdogoangu Acha ulimbukeni WA kupenda miji.



Naona nimalizie Kwa kukutukana **** wewe.usipo jiangalia utakufa masikini
 
Sasa hii barabara ya 1 km nayo ndio nini mbona unakuwa kama huna akili wakati, hiyo barabara niliiona juzi nilikuwa hapo sumbawanga mjini kweli wewe kichaa.
Hili povu ndio huwa nakupenda sasa 😂😂.

Hii ni dhahiri kwamba Mwanza hakuna barabara kama hiyo bali ,hata ile nyingine inayokutana na hiyo unayoisemea haipo huko Mwanza na wewe unajua 😆😆
 
Hili povu ndio huwa nakupenda sasa .

Hii ni dhahiri kwamba Mwanza hakuna barabara kama hiyo bali ,hata ile nyingine inayokutana na hiyo unayoisemea haipo huko Mwanza na wewe unajua
Yaani unaleta hoja zisizo na mashiko
Tumekwambia utupostie fly overs ya watembea kwa miguu kwenye kijiji chenu ,,,,hyo barabara ya sumbawanga ukitoa hizo taa panabak nini sasa

Ebu jibu na hizi picha sasa
IMG_20220618_135621.jpg
IMG_20220618_134820.jpg
IMG_20220618_134626.jpg
 
Back
Top Bottom