The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,516
- 14,183
Acha mambo ya ajabu mkuu,usisahau wale wa kula Tigo ya mbuzi 😂😂Hivi watu wa Njombe hasa hii wilaya ya Ludewa wana matatizo gani?? Haya ni matukio ambayo yameripotiwa kutoka Ludewa kwa muda mfupi kama miezi 2. Nafikiri hayo ni baadhi huenda kuna mengi yanatokea na hayalipotiwi, kuna haja ya serikali kupeleka elimu huko View attachment 2045966View attachment 2045968View attachment 2045969View attachment 2045975View attachment 2045978
Acha mambo ya ajabu mkuu,usisahau wale wa kula Tigo ya mbuzi
Hiyo Wilaya ustaarabu bado coz iko remote na ufikikaji wake ni ngumu sana
Ahahahaaaaaahhhh, Njombeee kwenye haya matukio mnaongoza sasaHivi watu wa Njombe hasa hii wilaya ya Ludewa wana matatizo gani?? Haya ni matukio ambayo yameripotiwa kutoka Ludewa kwa muda mfupi kama miezi 2. Nafikiri hayo ni baadhi huenda kuna mengi yanatokea na hayalipotiwi, kuna haja ya serikali kupeleka elimu huko View attachment 2045966View attachment 2045968View attachment 2045969View attachment 2045975View attachment 2045978
Ona hizo nyumba,ujue huwezi Dhani kuna watu Tzn hii wanaishi hayo maisha 😀😀😀😀..Kanda ya Ziwa jamani bado mko nyuma amkane kumekucha.Hii Ni bariadi Azam wametuonesha leo
View attachment 2046727
Hizo nyumba zimejaa na huko kwa ndugu zenu Iringa vijijiniKanda ya Ziwa jamani bado mko nyuma amkane kumekucha.Hii Ni bariadi Azam wametuonesha leo
View attachment 2046727
Ziko wap? Kwenye Middle income Regions kama Njombe huwezi Kuta huu uchafu wa ufukara.Hizo nyumba zimejaa na huko kwa ndugu zenu Iringa vijijini
Tuliwapa nchi badala kuboresha makazi wakajenga uwanja ndege😂😂😂😂Hizo nyumba zimejaa na huko kwa ndugu zenu Iringa vijijini
Hapana badilikieniKanda ya Ziwa jamani bado mko nyuma amkane kumekucha.Hii Ni bariadi Azam wametuonesha leo
View attachment 2046727
Tuliwapa nchi badala kuboresha makazi wakajenga uwanja ndege
Ili iwe nini?Moderator badilisha uzi iwe KAHAMA VS ILEMELA
kahamafmtz
View attachment 2047609
Habari za Asubuhi,leo saa tatu tuna kikao cha Baraza la Madiwani na baadhi ya Wadau kutambulisha mradi wa Uboreshaji wa Miundombinu ikiwemo Uboreshaji wa Eneo la Viwanda la Ummy Mwalimu ambapo zitajengwa Barabara Kiwango cha Lami Km 12.6,zikiwa na mitaro na taa za barabarani,Stand ,Soko na Eneo la Mamalishe na Wamachinga.
Ujenzi wa Stand ya Mbulu,Soko la Sango na Barabara za Mjini Km 10.5 pamoja na mitaro na Taa za Barabarani .
Mradi huu unatekelezwa na Serikali ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania kwa kushirikiana na Halmashauri kwa Fedha za Mkopo kutoka Benki ya Dunia.
Mradi huu utatekelezwa katika Halmashauri 45 kwa Makundi 3,Kundi la Kwanza lina Halmashauri 12 Manispaa ya Kahama ni moja ya Halmshauri hizo na tayari Wataalamu Washauri wameshaanza Kazi ,na tunategemea Wakandarasi wataanza Ujenzi Julai 2022.
Kahama sio level ya akina Njombe na Misungwi. Tumepanda cheo sie.Ili iwe nini?
Cheo gani hapo cha maana, Manispaa ya kupewa?Kahama sio level ya akina Njombe na Misungwi. Tumepanda cheo sie.
Wewe Mkuu wa Mkoa wenu na yule wa Mbeya si walikuja kujifunza Kahama au unadhani tumesahau?Cheo gani hapo cha maana, Manispaa ya kupewa?
Walikuja kujifunza kuwa Manispaa au mambo mengine?Wewe Mkuu wa Mkoa wenu na yule wa Mbeya si walikuja kujifunza Kahama au unadhani tumesahau?
Uzi wa wachovu kwa wachovu😀😀😀Moderator badilisha uzi iwe KAHAMA VS ILEMELA
kahamafmtz
View attachment 2047609
Habari za Asubuhi,leo saa tatu tuna kikao cha Baraza la Madiwani na baadhi ya Wadau kutambulisha mradi wa Uboreshaji wa Miundombinu ikiwemo Uboreshaji wa Eneo la Viwanda la Ummy Mwalimu ambapo zitajengwa Barabara Kiwango cha Lami Km 12.6,zikiwa na mitaro na taa za barabarani,Stand ,Soko na Eneo la Mamalishe na Wamachinga.
Ujenzi wa Stand ya Mbulu,Soko la Sango na Barabara za Mjini Km 10.5 pamoja na mitaro na Taa za Barabarani .
Mradi huu unatekelezwa na Serikali ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania kwa kushirikiana na Halmashauri kwa Fedha za Mkopo kutoka Benki ya Dunia.
Mradi huu utatekelezwa katika Halmashauri 45 kwa Makundi 3,Kundi la Kwanza lina Halmashauri 12 Manispaa ya Kahama ni moja ya Halmshauri hizo na tayari Wataalamu Washauri wameshaanza Kazi ,na tunategemea Wakandarasi wataanza Ujenzi Julai 2022.
😂😂Cheo gani hapo cha maana, Manispaa ya kupewa?
Walienda kufanya research ili kujua iliwezekanaje mtu akatoa hadhi ya manispaa mahali pasipo na sifaWewe Mkuu wa Mkoa wenu na yule wa Mbeya si walikuja kujifunza Kahama au unadhani tumesahau?
Aahahaaaa, wanayapaste Njombe ili muwe Manispaa na nyieWalienda kufanya research ili kujua iliwezekanaje mtu akatoa hadhi ya manispaa mahali pasipo na sifa