Kahama VS Njombe/Mafinga

Stay tuned kwenye Star TV baada ya taarifa utakuta tangazo la Vanilla kama kawaida,ingekuwa ni ponz scheme wala wasingetangaza..

Huo mradi hata wabunge waliwahi utembelea na wakawataka watu wachangamkie fursa the same year.
Usiseme STAR TV tu, sema STAR TV ya Mwanza 😀😀😀😀
 
Stay tuned kwenye Star TV baada ya taarifa utakuta tangazo la Vanilla kama kawaida,ingekuwa ni ponz scheme wala wasingetangaza..

Huo mradi hata wabunge waliwahi utembelea na wakawataka watu wachangamkie fursa the same year.
StarTv, kwani huko kijijini hakuna tv Hadi mlete matangazo jiji Mwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…