Kahama VS Njombe/Mafinga

Makao makuu ya UKIMWI ni Makete, Wahaya walishaelimika suala la UKIMWI sio tatizo tena, elimu duni njombe ususani makete ndo tatizo kuu la kushindwa kupambana na UKIMWI.
Nyie ndio wasambazaji wakuu wa ujinga huo
 
Ilemela si ni kijiji au ni uchochoro gani?
Ilemela ni jiji ndani ya jiji, kinondoni ni jiji ndani ya jiji. Labda pengine sheria hairuhusu kuwa na jiji ndani ya jiji, make haiwezekani Ilemela, Ubungo na Kinondoni ziitwe manicipal afu likijiji likuuubwa Mbeya liitwe jiji.
 
Ilemela ni jiji ndani ya jiji, kinondoni ni jiji ndani ya jiji. Labda pengine sheria hairuhusu kuwa na jiji ndani ya jiji, make haiwezekani Ilemela, Ubungo na Kinondoni ziitwe manicipal afu likijiji likuuubwa Mbeya liitwe jiji.
Hahaaaaaa
Jamaa anajua ukwel bali anajitoa ufahamu tu
Rock cty haitaji promo yenywe tu inajionesha
 
Hahaaaaaa
Jamaa anajua ukwel bali anajitoa ufahamu tu
Rock cty haitaji promo yenywe tu inajionesha
Top 5 ya maji yenye mapato mengi Tzn,Mbeya imechapa poor rock city 😝😝.

Soma hiyoo πŸ‘‡

 
Acha uzwawa ww πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Hiyo ni halmshaur moja tu
Mbona umeicrop ilemela???
Afu kingine haya ni mapato ya halmshaur walivyoset target zao haihusiani chochote na maendeleo πŸ˜€πŸ˜€
 
Mji usiyokua na stand kuu ya mabasi,hakuna airport mind you songwe airport siyo mbeya πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Hakuna hospitali ya rufaaa ya kanda
Barabara ndo usiulizeπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Siku mkiwa na double road unitagi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…