Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Bata batani pande za Mbeya 👇

Screenshot_20210914-221004.png


Screenshot_20210914-221015.png


Screenshot_20210914-220951.png


Screenshot_20210914-220958.png


Screenshot_20210914-220947.png
 
Hivi wataalamu wemeshaenda kukagua njombe ili kujiridhisha kama imegikia hadhi ya manispaa maana kahama walikaguliwa na wakatangazwa bungeni na ilikuwa kahama kibaha na geita japo kuwa nzega waliomba ila baada ya ukaguzi hawakukidhi vigezo pia kahama ilishawahi kutangazwa manispaa toka 2014 ila magumashi yakafanyika hati hawakuifata figusu mkoani ndio maana magufuli akaitangaza halafu hati baadae
 
Hivi wataalamu wemeshaenda kukagua njombe ili kujiridhisha kama imegikia hadhi ya manispaa maana kahama walikaguliwa na wakatangazwa bungeni na ilikuwa kahama kibaha na geita japo kuwa nzega waliomba ila baada ya ukaguzi hawakukidhi vigezo pia kahama ilishawahi kutangazwa manispaa toka 2014 ila magumashi yakafanyika hati hawakuifata figusu mkoani ndio maana magufuli akaitangaza halafu hati baadae
Walikagua lini wakati mwendazake alipayuka tuu kama alivyofanya kwa Dom..Hakuna procedures zilifanyika na endapo procedures zingefanyika ungeona na miji mingine imepewa hadhi stahiki..

Njombe tutatangazwa kadiri ya procedures vigezo viko tayari ni suala la muda tuu.
 
Walikagua lini wakati mwendazake alipayuka tuu kama alivyofanya kwa Dom..Hakuna procedures zilifanyika na endapo procedures zingefanyika ungeona na miji mingine imepewa hadhi stahiki..

Njombe tutatangazwa kadiri ya procedures vigezo viko tayari ni suala la muda tuu.
Ila ujue miji iliyotangazwa bungeni ilikuwa mitatu kahama kibaha na geita sasa kahama tayari bado hio 2 na ishu ni budget ya kuanzisha miji mipya ila kama vigezo vya makusanyo njombe mnakidhi labda hivyo vingine
 
Hivi wataalamu wemeshaenda kukagua njombe ili kujiridhisha kama imegikia hadhi ya manispaa maana kahama walikaguliwa na wakatangazwa bungeni na ilikuwa kahama kibaha na geita japo kuwa nzega waliomba ila baada ya ukaguzi hawakukidhi vigezo pia kahama ilishawahi kutangazwa manispaa toka 2014 ila magumashi yakafanyika hati hawakuifata figusu mkoani ndio maana magufuli akaitangaza halafu hati baadae
Kahama haikutangazwa bungeni kuwa Municipal ilitangzwa on the sport na Magufuli kwa alifurahishwa utendaji wa Mkurugenzi..So the true Municipal is yet to be found😊😊
 
Shinyanga-Mwanza ni mbali sana wewe mtu wa Njombe una matatizo.
.
Ona una ndoto mfu tena kwamba Njombe baada ya miaka 10-15 itazipita Iringa na Songea hivi hao watu wa Iringa watakuwa wamelala tu?
.
Njombe inaweza kuipita Lindi ila sio Iringa na Songea
We jamaa wa mwisho kabisa,hivi hauangalii hata takwimu,kuanzia mapato na kila kitu...njombe inakuzwa na wenyeji wake,kahama inakuzwa na wahamia...unadhani upi ni mji consistency,mzee hiyo mitaji unayowaona nayo wakinga maeneo yeyote wameanzia njombe,sasa kahama kuna wakina nani matajiri wakubwa wapo dar wanavimba,lakini kingine njombe ina vyanzo vingi vya mapato kulinganisha na baadhi ya wilaya nyingi...na sio mbao tu.
 
Walikagua lini wakati mwendazake alipayuka tuu kama alivyofanya kwa Dom..Hakuna procedures zilifanyika na endapo procedures zingefanyika ungeona na miji mingine imepewa hadhi stahiki..

Njombe tutatangazwa kadiri ya procedures vigezo viko tayari ni suala la muda tuu.
Kahama na Ilemela zilifikiliwa kuwa Municipal kabla ya Njombe kuwa Mkoa
 
Kahama haikutangazwa bungeni kuwa Municipal ilitangzwa on the sport na Magufuli kwa alifurahishwa utendaji wa Mkurugenzi..So the true Municipal is yet to be found😊😊
Haina hata vigezo,Mji mzima una kabarabara kamoja,eti Manispaa huu upuuzi tu wa yule dhalimu kupendelea Kanda ya kwao.
 
Ila ujue miji iliyotangazwa bungeni ilikuwa mitatu kahama kibaha na geita sasa kahama tayari bado hio 2 na ishu ni budget ya kuanzisha miji mipya ila kama vigezo vya makusanyo njombe mnakidhi labda hivyo vingine
Hivyo vingine vipi? Kigezo kikuu ni kuwa na Makao Makuu ya Mkoa au Wilaya,mapato tayari,kila kitu kipo kuanzia viwanda hadi idadi ya watu.

Ni hivi Njombe tunafuata procedure za serikali hatua kwa hatua kama inavyotakiwa,siku serikali ikiwa na fedha za kuanzisha hayo maeneo mapya ya kiutawala,Miji mingi tuu ikiwemo Njombe itapandishwa hadhi kuwa Manispaa..

Ujue kuna privilege tunakosa kwa kutokuwa Manispaa
 
Hivyo vingine vipi? Kigezo kikuu ni kuwa na Makao Makuu ya Mkoa au Wilaya,mapato tayari,kila kitu kipo kuanzia viwanda hadi idadi ya watu.

Ni hivi Njombe tunafuata procedure za serikali hatua kwa hatua kama inavyotakiwa,siku serikali ikiwa na fedha za kuanzisha hayo maeneo mapya ya kiutawala,Miji mingi tuu ikiwemo Njombe itapandishwa hadhi kuwa Manispaa..

Ujue kuna privilege tunakosa kwa kutokuwa Manispaa
Kijiji cha njombe kiwe manispaa?!! Acha utani basi.
 
Haina hata vigezo,Mji mzima una kabarabara kamoja,eti Manispaa huu upuuzi tu wa yule dhalimu kupendelea Kanda ya kwao.
Mara tatu Rais inakuja kanda ya ziwa wakati huohuo wala hajafikiri kuja kusini, vipi hapo Mama anapendelea labda? Make yeye ni Kanda ya ziwa, Pwani na Zanzibar tu.
 
We jamaa wa mwisho kabisa,hivi hauangalii hata takwimu,kuanzia mapato na kila kitu...njombe inakuzwa na wenyeji wake,kahama inakuzwa na wahamia...unadhani upi ni mji consistency,mzee hiyo mitaji unayowaona nayo wakinga maeneo yeyote wameanzia njombe,sasa kahama kuna wakina nani matajiri wakubwa wapo dar wanavimba,lakini kingine njombe ina vyanzo vingi vya mapato kulinganisha na baadhi ya wilaya nyingi...na sio mbao tu.

Haina hata vigezo,Mji mzima una kabarabara kamoja,eti Manispaa huu upuuzi tu wa yule dhalimu kupendelea Kanda ya kwao.
Huu ndo ufala wa serikali zenu dhalimu hasa ile hawamu ya nne ilikuwa inataka kuangamiza kanda ya ziwa, kahama inachangia kwa kiasi gani pato la taifa lakini ushenzi wa ubaguzi dhidi ya kanda ya ziwa leo hii ata barabara za maana tu hakuna, kiukweli kahama ilitakiwa kuwa kama Jo'berg.
 
Huu ndo ufala wa serikali zenu dhalimu hasa ile hawamu ya nne ilikuwa inataka kuangamiza kanda ya ziwa, kahama inachangia kwa kiasi gani pato la taifa lakini ushenzi wa ubaguzi dhidi ya kanda ya ziwa leo hii ata barabara za maana tu hakuna, kiukweli kahama ilitakiwa kuwa kama Jo'berg.
Dhalimu alikuwa Waziri wa Ujenzi miaka yote awamu ya 4,akawa Rais kwa nini hakujenga?

We unazeeka vibaya,weka basi Takwimu ambazo Kahama inachangia kwenye Pato la Taifa.Jibu ni kwamba Kahama yako ni insignificant kwenye Nchi.
 
Mara tatu Rais inakuja kanda ya ziwa wakati huohuo wala hajafikiri kuja kusini, vipi hapo Mama anapendelea labda? Make yeye ni Kanda ya ziwa, Pwani na Zanzibar tu.

Dhalimu alikuwa Waziri wa Ujenzi miaka yote awamu ya 4,akawa Rais kwa nini hakujenga?

We unazeeka vibaya,weka basi Takwimu ambazo Kahama inachangia kwenye Pato la Taifa.Jibu ni kwamba Kahama yako ni insignificant kwenye Nchi.
Mzee mwenzangu hiyo migodi inaingiza shilingi ngapi kwa mwaka?
 
Mara tatu Rais inakuja kanda ya ziwa wakati huohuo wala hajafikiri kuja kusini, vipi hapo Mama anapendelea labda? Make yeye ni Kanda ya ziwa, Pwani na Zanzibar tu.
Nilishakujibu mara nyingi tuu sehemu kama huko lake zone ni zenye matatizo lukuki na ni Kanda ya nyumbu sasa ukitaka ulaji unawaweka Kati nyumbu..

Ulazima wa Rais kuja ni upi ikiwa maendeleo yanafanyika? Kuna miradi lundo inafanyika na mwingine huu hapa wa Maji Makambako..

Wewe Mzee unazeeka vibaya,ishu sio sura ya Rais ishu maendeleo,kama hayafanyiki lazima tunge mask,huo ni ushamba.

Screenshot_20210917-043708.png


Screenshot_20210917-043822.png
 
Unajua almas kwa hapa Tz zinatoka wapi kwa wingi? Na je hapo kahama pia hakuna migodi ya dhahabu? Mimi ni kijana tu wa miaka 27 nipo Mwanza, ila huwa napenda sana msemo wakuitana mzee mwenzangu.
Nitaka radhi kwanza Niko kwenye 30's mimi sio Mzee..

Migodi mingapi,si uko mmja,sasa mgodi 1 ndio nini kwenye uchumi?
 
Back
Top Bottom