Sio kila miji ifanane hiyo ndo unique ya jiji la Mwanza na miji mingine ya Afrika.Mwanza ina undugu na Rio de janeiro kimuonekano na kimakazi kwa hapa duniani.Ila hizo nyumba zenu ntakuwa mnapata shida sana maana hayo mawe na vilima sijui hata raha ya nyumba na maisha iko wapi kwa staili hiyo ..
Mwananchi mtaa sio wananchi kama unavyofikiri, ni mtaa wa kawaida tu kwa huku lakini zaidi ya mitaa yote ya likijiji likubwaMageto ya wananchi yako hivi
View attachment 1938545
View attachment 1938546
View attachment 1938547
View attachment 1938548
Hizo ni picha za hotel zetu na hapo nje kuna gari la shirika acha kuzingua baharia huko hakuna kitu, nyie endeleni kulima parachichi tu.Mageto ya wananchi yako hivi π
View attachment 1938545
View attachment 1938546
View attachment 1938547
View attachment 1938548
Mwananchi ya buzuruga hiyo au.Mwananchi mtaa sio wananchi kama unavyofikiri, ni mtaa wa kawaida tu kwa huku lakini zaidi ya mitaa yote ya likijiji likubwaView attachment 1938555View attachment 1938556View attachment 1938557View attachment 1938558View attachment 1938559View attachment 1938560
Usiwe mjinga ,magari ya shirika hayawezi kuwepo nyumbani? Nitakuja na hotel saizi nakuja na houses kali tuu kutoka Mbeya City πHizo ni picha za hotel zetu na hapo nje kuna gari la shirika acha kuzingua baharia huko hakuna kitu, nyie endeleni kulima parachichi tu.
NdiyondiyoMwananchi ya buzuruga hiyo au.
Basi mlivyokariri ujinga wa Kusini kumesahaulika kumbe tunachanja mbugha ..Unazingua Mkuu
Hapo hamna kitu ni viota hivyo nakuambia ukweli subiri uzi unaofuata ni mbeya city vs Singida town coming soon.Usiwe mjinga ,magari ya shirika hayawezi kuwepo nyumbani? Nitakuja na hotel saizi nakuja na houses kali tuu kutoka Mbeya City π
View attachment 1938608
View attachment 1938609
View attachment 1938610
View attachment 1938611
View attachment 1938612
View attachment 1938613
View attachment 1938614
View attachment 1938615
ππππ Viota vingine hivi hapa πHapo hamna kitu ni viota hivyo nakuambia ukweli subiri uzi unaofuata ni mbeya city vs Singida town coming soon.
Nyumba za katoro na bukoba vijijini huko ndo unalingia hapa kwamba ndo nyumba kali za mbeyaHapo hamna kitu ni viota hivyo nakuambia ukweli subiri uzi unaofuata ni mbeya city vs Singida town coming soon.
Zionyeshe hapa sio maneno manenoNyumba za katoro na bukoba vijijini huko ndo unalingia hapa kwamba ndo nyumba kali za mbeya
Hizo nyumba zako za kijiji Cha mbeya zinapatika huko bukoba vijijini Tena ndani ndani huko
Mkuu unatuchapa za uso, mpaka michoro?????? π€£π€£π€£π€£π€£
Vitu og hivyoMkuu unatuchapa za uso, mpaka michoro?????? π€£π€£π€£π€£π€£
View attachment 1939097
View attachment 1939102
Ujue umeanza kuchanganyikiwa mzee mwenzangu yaan unaanza kupost adi michoro ya nyumba haya bhana.Zionyeshe hapa sio maneno maneno
Ni michoro ambayo imeambatana na ujenzi ambao haujakamilika mfano hii hapa πUjue umeanza kuchanganyikiwa mzee mwenzangu yaan unaanza kupost adi michoro ya nyumba haya bhana.
Hao wamekuja kula posho tuu,sijui kuna nini cha kujifunza huko ..Wamekuja Kahama kujifunza yaani
View attachment 1940882
Mtakaa hivyohivyo na ubishi wenu wa njombe lakini kahama wamejipanga kila siku wanabuni miradi mipya kuongoza mapato na nyinyi mnakaa kubisha hao waliokuja kujifunza utashangaa watapaa kiuchumi na kuwa manispaa halafu mbaki na ubishi wenuHao wamekuja kula posho tuu,sijui kuna nini cha kujifunza huko ..
Kwa mfano sisi Njombe tuko busy na kilimo cha kisasa tuje Kahama kujifunza nini hasa?
Wewe kenge unajua nini? Njombe hatuna cha kujifunza huko machimboni ,sisi tuna projects zetu za kilimo cha kisasa na kuongeza thamani ya Mazao ya kilimo na misitu..Mtakaa hivyohivyo na ubishi wenu wa njombe lakini kahama wamejipanga kila siku wanabuni miradi mipya kuongoza mapato na nyinyi mnakaa kubisha hao waliokuja kujifunza utashangaa watapaa kiuchumi na kuwa manispaa halafu mbaki na ubishi wenu