Kitombile
JF-Expert Member
- Mar 21, 2021
- 7,149
- 7,966
Me niliona kumbe nabishana na mtu aliyetoroka milembe..
Nimebaki kucheka tu
Me niliona kumbe nabishana na mtu aliyetoroka milembe..
Nimebaki kucheka tu
Hapo hamna hakili ni kupoteza muda bure tu.
Jamaa ni kituko hapa jukwaani.Huyu mshikaji nimegundua nut ya kwenye cerebrum imelegea sio bure, ana post vijihotel vya ajabu ajabu et anasema kanda ya ziwa hazipo na vigorofa vyenyewe ni kama vijumba vya igogo huko bugarika![]()
Kwa kweliHapo hamna hakili ni kupoteza muda bure tu.
Sisi tunaongelea mega projects yeye analeta picha ya ile junction ya mbeya wakati junction ya hivyo ata buswelu ipo.Jamaa ni kituko hapa jukwaani.
Sisi wana kanda ya ziwa tunaongelea miradi mikubwa mikubwa ya kuleta tija kwa wananchi mtu from knowhere ana post ma filling station, mara watu wakiwa wanachuma parachichi😂😂😂Kwa kweli
Utaweweseka Sana,Amazing Mbeya City.Me niliona kumbe nabishana na mtu aliyetoroka milembe.
Imetosha usipost tena picha za ili jiji, sisi ni level ya kushindana na miji kama kigali, kampala na mombasaMwanza city tuna vitu, na hatupendi kupost tu
View attachment 1937853
View attachment 1937863
View attachment 1937866
View attachment 1937857
Je itasaidia kuondoka umaskini wenu au ndio kujipiga kifua tuu?Mega project tu moja ya Lake zone ni vibarabara vote vya Njombe na chenji inabaki
Billion 700
View attachment 1937838View attachment 1937839
Soko kuu Mwanza and bus stand U/ construction
View attachment 1937843
View attachment 1937844
View attachment 1937845
Stand ya pili kwa wingi wa Mabasi Nchin (Nyegezi)
View attachment 1937850
View attachment 1937840
Ndugu yako anatuwekea nyumba za watu humu, zimejaa Isamilo/ Bwiru/ Capri pointImetosha usipost tena picha za ili jiji, sisi ni level ya kushindana na miji kama kigali, kampala na mombasa
😄😄 Viko wapi mlivyojenga wenyewe? Au ndio vile mnavyosema ukisoma CO unakula maisha ?Nyie endeleeni kujengewa vyuo na serikali huku kanda ya ziwa vyuo tunajenga wenyewe na huko tunakuja kusoma pia.
Mbeya real estates 👇Ndugu yako anatuwekea nyumba za watu humu, zimejaa Isamilo/ Bwiru/ Capri point