Kahama VS Njombe/Mafinga

Kwa kuongezea umy mwalimu alisema kahama MC wamekusanya 9bilion point 6 fuatilia hotuba yake akiwahutubia wakuu wa mikoa hivyo kwa mapato njombe watasubiri sana kwa kahama nisawa na fisi anaesubiri mkono wa binadamu anapotembea utanyofoka aokote
Sitaki hadithi nataka data official na hizo officials zilizoko kwenye website ya Tamisemi ndio nilikuwekea hapo.

Kama ni taarifa za mdomoni kama za Ummy basi hata Njombe tulipata mapato zaidi kwa sababu malengo tuliyowekewa na Serikalini (2020/2021) yalikuwa ni 6.7bln tukavuka malengo kwa kukusanya asilimia 131% yaani ukifanya hesabu Unapata 8.8 bln..

Kahama malengo yalikuwa 6.88 lakini wamekusanya asilimia 109 % ya malengo ambayo haivuki 7.98 sasa hizo za Ummy zimetoka wapi ikiwa Wizara yake inasema hiki yeye anasema kingine?

Kwa hiyo tutaamini taarifa rasmi za kimaandishi zilizoko kwenye tovuti yao sio maneno matupu..πŸ‘‡



 
Tunawekeza kwenye ICD, EPZ na SEZ sasa hivi, vitu ambavyo hata hamviwazi na hamtegemei kuwa navyo, Wakuu wa mikoa walikuja Kahama kujifunza na wa Njombe alikuja πŸ˜› πŸ˜› πŸ˜›
Sisi Njombe tunawekeza kwenye vitu vyenye kuongeza value ya Mazao ya wakulima na shughuli za misitu ..

Viwanda vya wahindi vimewahi mtoa mwananchi gani?

Soma hiyoo πŸ‘‡









 
Tunaamini taarifa za maandishi sio maneno ya mdomoni ya Waziri..

Ni kiongozi mwehu tuu ndio atalazimisha mazingira ya Kahama yafanyike Tandahimba..

Ndio maana sisi Njombe tunapuuza maagizo ya kijinga,sisi tuna deal na fursa za mazingira yetu.

Kabla ya kujiongelesha anatakiwa kujua kwamba tumetoa mapato kutoka average ya 2bln less than 5 years tuko 7.5bln sasa atatuambia nini ?

Attachment ya Tamisemi iliyo na Takwimu za mapato ni hii hapa πŸ‘‡
 

Attachments

Tunawekeza kwenye ICD, EPZ na SEZ sasa hivi, vitu ambavyo hata hamviwazi na hamtegemei kuwa navyo, Wakuu wa mikoa walikuja Kahama kujifunza na wa Njombe alikuja πŸ˜› πŸ˜› πŸ˜›
Wa Njombe alikuja kula posho tuu ,sisi tuna mipango yetu kulingana na mazingira yetu hatuna ujinga wa kuiga vitu ambavyo havisadifu mazingira yetu unless uwe kichaa.

Mwaka 2018 mapato yetu yalikuwa around 3bln lakini mwaka 2020 yakafika 5bln na mwaka 2021 yako 7.5 bln ..Next year tunakojolea Kahama πŸ˜‚πŸ˜‚

Sisi sio wajinga wa kuiga mambo yasiyosaidia watu wetu..Sisi tuko busy na kilimo cha kisasa ,misitu na agroproccesding industry na sio ujinga wa ICD Njombe..
 

Kwa kuongezea umy mwalimu alisema kahama MC wamekusanya 9bilion point 6 fuatilia hotuba yake akiwahutubia wakuu wa mikoa hivyo kwa mapato njombe watasubiri sana kwa kahama nisawa na fisi anaesubiri mkono wa binadamu anapotembea utanyofoka aokote
Meanwhile Wakazi wa Kahama yenye mapato wanasema hivi πŸ˜πŸ˜πŸ˜€πŸ˜€πŸ‘‡











 
Mimi navyojua mwanza sio jiji uchwara hata kidogo.


Nyuma ya Dar hakuna jiji lililoendelea bongo hii zaidi ya mwanza
Hilo ni Jiji uchwara na la kipuuzi kuna maendeleo gani hasa kushinda Arusha na Dom kwa mfano..

Kimji kimejaa slums na hakuna barabara ndio kuna maendeleo hapo? Hivi mtu anaweza toka mkoa mwingine kuja Mwanza kuangalia nini hasa?.

Hilo Jiji lenu uchwara nilishalidharau Sana,jengeni barabara zinazoendana na Jiji kama dual carriage na jengeni majengo marefu ku justify status ya Jiji la pili na mkome kunya ziwani,kujenga tembe milimani na muache ushamba.

Hivi unajua kwamba Mbeya tukishajenga Tanzam kuwa dual carriage ya 4 lanes na kujenga Uyole na Iwambi bypass tutawapiga mbali sana.

Kwani kuna kitu gani cha maana Mwanza inazidi Mbeya kwa mfano?

Nje ya Dar ,Jiji pekee la kuogopwa ni Dodoma tuu hakuna kwingine.
 
Tofautisha kanda zetu na Great lakes region Boss πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›. Mwanza ni center kwa capital city zote za EA. Dodoma, Nairobi, Kampala, Gitega (Burundi), Kigali, Kinshasa na Juba
View attachment 1933114
Kama kuwa centre ni point mbona mumeshindwa ata kuikaribia Bujumbura?

Useless ushagoni poor city ,Mwanza inatia aibu Sana.
 
Kweli we mtu ya njombe una udumavu wa akili.

Na Wala hujawahi fika mwanza
 
Kweli we mtu ya njombe una udumavu wa akili.

Na Wala hujawahi fika mwanza
Wewe ni kenge ,Tzn naifahamu olmost yote..Mwanza sisimuliwi nimeishi miaka 3 hapo last time nilitoka huko 2016 na kuna ndugu zangu kibao..

Mwanza yote na Wilaya ya Misungwi yote naijua,I used to a totor wa Civil Engineering hapo Misungwi CDTTI kwa hiyo huna cha kunisimulia Kuhusu Mwanza.
 
Duuuuhhhhhhhh! Kumbe Misungwi, basi sawa πŸ˜› πŸ˜› πŸ˜› πŸ˜› πŸ˜› πŸ˜› πŸ˜›
 
Huu ndo ukweli.

Geita imeunganishwa na mwanza hapoView attachment 1934573
Kwa nini unapenda taarifa uchwara wewe? NBS wametenganisha taarifa za kila mkoa wewe unakomaa na sources uchwara Ili Kagera iwemo but official statistics huo mkoa Maskini haupo.

Ukija kwenye official data Kagera haipo hata top ten na Shinyanga sio ya 3,look here πŸ‘‡

 
Duuuuhhhhhhhh! Kumbe Misungwi, basi sawa πŸ˜› πŸ˜› πŸ˜› πŸ˜› πŸ˜› πŸ˜› πŸ˜›
Sasa mapank ulitakaje? Nilikuwa nawatoa ujinga ndugu zako huko kwa hiyo utanidanganya nini wewe Kuhusu Mwanza?
 
Nabishana na popoma mwenye udumavu wa akili .hebu Soma taarifa yako vzr.

Hiyo ndo GDP ya mkoa?!!!


Eti civil engineer



Una matatizo makubwa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…