Kijana hiyo ni 2018. Mara ya mwisho NBS kutoa takwimu za umaskiniNikuletee current data? Huko wakushatika nyie bado mnabafilishana mikia
Acha kuhangaika Mzee,sasa tupe top 6 ya hao maskini,Kagera mkikosa nahama jukwaa 😂😂Kijana hiyo ni 2018. Mara ya mwisho NBS kutoa takwimu za umaskini
Mkoa wa Rukwa ( sumbawanga yako) ni mkoa maskini zaidi nchini
Wew unachanganya per Capita na umaskiniView attachment 1932905
Weka list ya 5 bora kwa umaskini,ukikosa Kagera na Mwanza nahama jukwaa maana mnabadilishana tuu vigoda vya umaskini..Ingia NBS halafu Soma kitu unachokichanganya wew hapa
Huyu mdau kaelezea vzr SanaView attachment 1932901
We Kama unaiona kagera nitagWeka list ya 5 bora kwa umaskini,ukikosa Kagera na Mwanza nahama jukwaa maana mnabadilishana tuu vigoda vya umaskini..
Kagera siku hiz ni ya 10 huko . Naona mkoa unarudi katika hali yake baada ya mkoa kukumbwa na majanga muda mrefu.Acha kuhangaika Mzee,sasa tupe top 6 ya hao maskini,Kagera mkikosa nahama jukwaa
😂😂😄😄 Poverty zone yote imo ,hivi huko mnamaisha kama ya nguruwe au?..Kagera siku hiz ni ya 10 huko . Naona mkoa unarudi katika hali yake baada ya mkoa kukumbwa na majanga muda mrefu.View attachment 1932910
Mkoa unarecover baada ya kupitia majanga mengi.Weka list ya 5 bora kwa umaskini,ukikosa Kagera na Mwanza nahama jukwaa maana mnabadilishana tuu vigoda vya umaskini..
Eti kagera haichomoki.Poverty zone yote imo ,hivi huko mnamaisha kama ya nguruwe au?..
Kwa taarifa yako kwa Rukwa hiyo 2018 ndio kwanza walikuwa Wana mwaka 2 toka wapate lami ila wako updates hizo figure hutoikita hapo ila nyie wazee wa katerero hapo hamchomoki aisee
Kagera sio mkijitahidi mtachomoka ni ajabu mkoa una Hali ya hewa nzuri eti unakuwa maskini,hii..We Kama unaiona kagera nitag
Kagera soon inatoka top tenna itarudi kwa hali yake kumbuka kipindi kile ugonjwa wa mnyauko wa migomba na mauzo ya kahawa yalikuwa yameshuka na hakuwepo meli za kusafirisha mazaoView attachment 1932907View attachment 1932909
Ukiungalia takwimu za nyuma kabla ya mkoa kupata majanga mkoa huu haukuwahi kukosa top five ya mikoa yenye ahueni .Kagera sio mkijitahidi mtachomoka ni ajabu mkoa una Hali ya hewa nzuri eti unakuwa maskini,hii..
Huoni Highlands hapo iko juu with exception to Rukwa.But nakuhakikishia next update huwezi Kuta Rukwa hapo
Umeshindwa kushangaa kwa nini mikoa yote ya Kusini watoto wanaongoza kudumaaKagera sio mkijitahidi mtachomoka ni ajabu mkoa una Hali ya hewa nzuri eti unakuwa maskini,hii..
Huoni Highlands hapo iko juu with exception to Rukwa.But nakuhakikishia next update huwezi Kuta Rukwa hapo
Mkuu hujasoma list hiyo kwani?? Njombe inaongoza ikifuatiwa na majirani zake wote (kanda ya kusini yote). Yaani mnaonekana mpo local sana dunia imewaachaUdumavu unatokana hasa na kukosa elimu lishe na wala sio kukosa chakula.
Hapo unakuta watu wanakula chakula aina moja zaidi na mainly ni Vijijini but nowdays mambo yamebadilika watu wamejifunza lishe kwa sababu vyakula viko anuwai ..
Ukiiona Njombe na Mbeya hapo kwenye list nitag mkuu.
Mkuu mbona elimu ya lishe inafundishwa tangu primary mpaka kwenye vituo vya afya na taasisi mbalimbali, au huko kwenu hivi vitu havipo?? Yaani nyie ni zaidi ya localUdumavu unatokana hasa na kukosa elimu lishe na wala sio kukosa chakula.
Hapo unakuta watu wanakula chakula aina moja zaidi na mainly ni Vijijini but nowdays mambo yamebadilika watu wamejifunza lishe kwa sababu vyakula viko anuwai ..
Ukiiona Njombe na Mbeya hapo kwenye list nitag mkuu.
Rukwa si Southern Highland???,Mkoa wa Rukwa ndo mkoa maskini kuliko yote nchini kumbe. Pamoja na kuwa na population ndogo View attachment 1932886
Hizi ndio current data sasaUmeshindwa kushangaa kwa nini mikoa yote ya Kusini watoto wanaongoza kudumaa! Si ajabu tupo tunabishana na wenye utapiamloView attachment 1932963View attachment 1932965
Sasa huko Kahama hii elimu wallipataje halafu matajiri mkaikosa????Udumavu unatokana hasa na kukosa elimu lishe na wala sio kukosa chakula.
Hapo unakuta watu wanakula chakula aina moja zaidi na mainly ni Vijijini but nowdays mambo yamebadilika watu wamejifunza lishe kwa sababu vyakula viko anuwai ..
Ukiiona Njombe na Mbeya hapo kwenye list nitag mkuu.
Kahama ingekuwa mkoa ingekuwa second to Dsm, Shinyanga iko hapo kwa nguvu ya Kahama, ilo lipo wazi hata JPM aliwahi sema hilo wakati anaipandisha.hadhi kutoka TC kwenda MC..Mikoa kumi yenye GDP kubwa nchini.
Kagera ikiwa ya Tisa nchini
Njombe ni mkoa wa 19 nchiniView attachment 1932864View attachment 1932865
Soma heading ya hilo gazeti "Mikoa hiyo inaongozwa na Njombe.....,''Umeiona Njombe hapo? Mikoa mingine kama Ruvuma na Rukwa ndio imetokea lakini Matajiri wa Njombe na Mbeya huwezi wakuta kwenye list za hovyo hovyo
Ulichelewa kupata miundombinu ya barabara,mwaka 2015 ndio wamepata lami sasa huoni kwamba lazima uwe vibaya kiasi?Rukwa si Southern Highland???,
Fungua per capita Sasa kagera ya mwishoSasa ndo mjue kwa Nini serikali inapenda kuwekeza mwanza
Just imagine Tazama gape lililopo Kati ya mwanza na mikoa mingineView attachment 1932867