Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 8,996
- 6,921
Jazaneni leteni pesa shida iko wapi? Bahati nzuri mkimaliza hamrudi kwenu hadi disemba kusalimia mababu afu mnarudi tena Kusini.Nyie endeleeni kujisifu kwa vyuo sisi na wakina nshomile waitu tunajazana huko kwenye vyuo vyenu kuliko ata nyie wenyeji.
Mzee wa maharage,tunakoelekea tugawane fito kuna majitu na mikoa uchwara inatunyonya afu mnaanza dhihaka za Kusini kumetengwa.maneno ya kanga.
Naam kagera ipo BBC just imagine
Tunasifiwa kwa uzalishaji wa maharageView attachment 1931975
Tungekuwa haturudi population density ya kanda ya ziwa si ingepungua.Jazaneni leteni pesa shida iko wapi? Bahati nzuri mkimaliza hamrudi kwenu hadi disemba kusalimia mababu afu mnarudi tena Kusini.
Nyie kufuatuana si ni kawaida?Tungekuwa haturudi population density ya kanda ya ziwa si ingepungua.
Acha tuwatifue tu coz wanawake wa kanda ya ziwa wamejaliwa.Nyie kufuatuana si ni kawaida?
Mafinga na Njombe ni miji yenye future kwa sababu miti unakata inaota tena, tena kama mikaratusi ambayo sasa hivi ndo inatengeneza hardboard unakata inamea tena...Karibuni kwenye mada.
Nawiwa kuilinganisha na kushindanisha mji wa Kahama na Njombe au Mafinga.
Je, ni mji gani mzuri na una future kubwa kifursa kuliko mwenzie in terms of maendeleo na ukuaji?
Usikurupuke angalia comment yako niliyo-quote na ya kwangu uliyo-quoteWe nshomile huko kwenu barabara kuu zina service road?
Hizi hapa ni barabara za mjini na mitaani
View attachment 1931935
View attachment 1931936
View attachment 1931937
View attachment 1931938
View attachment 1931939
View attachment 1931940
View attachment 1931941
View attachment 1931942
View attachment 1931943
View attachment 1931944
Mkuu hapo umeteleza refer tofauti kati ya Tunduma na VwawaKwa hiyo hivyo ndivyo havipo kwingine? Dhahabu imejaa Chunya na Hamza ni shahidi.
Mji wa Tunduma unafanya uko karibu na Nchi za Zambia,DRC na Malawi na unafanya biashara Sana za mipakani kuliko Kahama.
Sema hivi Kahama imechukua nafasi ya Miji kama Bukoba,Shinyanga,Musoma na Geita ambayo ilistahili ndio iwe Miji mikubwa kutokana na hadhi zao lakini ndio hivyo wachuuzi wamewazidi.
Sisi Kusini hakuna Mji unauzidi Mji mkuu wa Mkoa ,haupo labda Makambako ije kuizidi Njombe siku za baadae but sioni hicho kikitokea kwa sababu Njombe ina nguvu ya uchumi kuliko Makambako.
Vwawa imeungana na Mlowo ,soon inaitwa Manispaa ya Mbozi,sasa hapo Tunduma haitaweza kuizidi Mbozi MCMkuu hapo umeteleza refer tofauti kati ya Tunduma na Vwawa
Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
Swala la kahama na gold ni kitu kimeenea Tanzania nzima kwamba mzunguko wa fedha kahama unaletwa na dhahabu tu sio kweli mimi nipo hapo kahama ina mambo mengi sana nje ya dhahabu kama kweli ni dhahabu mbona geita zipo nyingi kuliko kahama tena ni makao makuu ya mkoa mbona hazileti mzunguko mkubwa wa fedha kama kahama jibu ni kwamba wawekezaji waliwahi kuwekeza hama baada ya mwanza jiji kujaa leo hii kahama kunaviwanda vinajengwa na wazawa vyenye gharama ya billion 200 pia mkuu wa mkoa ameomba serikali iugawe mkoa wa shinyanga katika mikoa miwili ya tanesco yaani kahama ijitegemee kwa sababu kunakwenda kuwa na uwekezaji mkubwa wa viwanda ndio industrial zone kwa shinyannga na mkoa mzima wa shinyanga unatumia umeme wa billion 8 kwa mwezi lakini kahama peke yake inatumia billion 7 huo ndio ukubwa wa kahama yaani panapobaki mkoa mzima wanatumia billion moja hata mafuta ya petrol kahama ni ya pili kutoka mwanza kwa matumizi makubwa ya mafuta hayo mashine za mpunga kwa mwaka kahama wanakusanya ushuru wa billion 3 kuna kimji kinaitwa kagongwa kinakusanya bilion moja kwa mwaka ushuru wa mpunga kinazidi hata halmashauri za bahi hayo ni mapato nje ya dhahabu hivyo hoja yangu kwa uwekezaji uliopo kahama kwa sasa kahama bila buzwagi inawezekana na uchumi wa mkoa wa shinyanga uko kahama hivyo shinyanga bila kahama haiwezekaniMafinga na Njombe ni miji yenye future kwa sababu miti unakata inaota tena, tena kama mikaratusi ambayo sasa hivi ndo inatengeneza hardboard unakata inamea tena...
miwati pia unakata inamea tena...
chai pia unakata inamea tena
Mazao unapanda yanamea tena
Ila Kahama siku GOLD ikiisha mji unarudi kuwa kama old Kilosa town
Inawezekana miji ya makao makuu ya wilaya kuzidi makao makuu ya mikoa endapo itakuwa na uwekezaji mkubwa mfano makambako inaweza kuzidi njombe soon kama pakifanyika uwekezaji mkubwaMkuu hapo umeteleza refer tofauti kati ya Tunduma na Vwawa
Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app