Kahama VS Njombe/Mafinga

Hivi nyie wasukuma hamuendi vyuo au mko machimboni? πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

Mbeya University of Science and Technology baba laoπŸ‘‡πŸ‘‡















 
Msije mkapasuka kwa pressure naishia hapa kwa leo.

K's Royal College of Health Sciences Mbeya and Teaching Hospital πŸ‘‡πŸ‘‡









 
Sisi Njombe tuna millionaires zaidi ya 10000 wametapakaa nchi nzima wote wakirudi kuwekeza Njombe haikamatiki tena
 
Sisi Njombe tuna millionaires zaidi ya 10000 wametapakaa nchi nzima wote wakirudi kuwekeza Njombe haikamatiki tena
Na hata serikali ikijenga uwanja wa ndege Njombe utawalipa Sana kwa ajili ya watu kusafiri nyumbani
 
Sisi Njombe tuna millionaires zaidi ya 10000 wametapakaa nchi nzima wote wakirudi kuwekeza Njombe haikamatiki tena
Kijana hao matajiri wa njombe ndo wakina Fred vunjabei ama?

Hiv Mulishawahi ingiza top ten Billionaire yeyote kutoka njombe.


Kagera kulikiwepo All Mfuruki na mshumbusi kabla hawajafariki.


Bila Shaka sura sio ngeni.


Hebu nitajie millionaires yeyote kutoka kusini alieshaingia top ten ya matajiri bongo
 
Na hata serikali ikijenga uwanja wa ndege Njombe utawalipa Sana kwa ajili ya watu kusafiri nyumbani
Mbona route ya ATCL ya iringa ilifutwa?

Kwan mnashindwa nini kutumia uwanja wa iringa.

Nyie hamna kipato ndo maana iringa airport hakuna abiria wa ndege kabisa.
Nyie kudominate kariakoo kusiwachanganye Kuna wahaya wafanya biashara wakubwa na wanafanya biashara zao kiisomi kuliko uchuuzi wa kariakoo.


Sisi Koo za kihaya zinamiliki makampuni makubwa mfano abemulo construction and engineering, Luganuza engineering,kairuki hospitals ,Tusiime nk nk

.yaan kusini nzima hata hio songwe airport inazidiwa abiria na bukoba airport?
 
Utoke Dar uende Iringa afu usafiri kwa Bus km zaidi ya 200 kufika Njombe/Makete huu si wehu bora kuja na gari binafsi tuu
 
Hatunaga sifa za kijinga sisi,huyo muuza sura wa Simba hayumo hata kwenye orodha.
 
Hatunaga sifa za kijinga sisi,huyo muuza sura wa Simba hayumo hata kwenye orodha.
Hebu taja Billionaire yeyote kutoka kusini aliyeshawahi ingia top ten nchini.


Mkoa wa kagera ulishawahi ingiza wawili


All mufuruki biotech companies
Mushumbusi shumbusho

. tofauti ya wafanyabiashara wakubwa wa kihaya na wa huko kusini ni kwamba wafanyabiashara wa kihaya hawafanyi uchuuzi wa kariakoo Bali hufanya biashaza zao kisomi.

Hebu kaulizie makampuni haya

1.Biotech companies
2.mukwano hii imebase Sana Uganda
3.Abemulo companies
4.mesuma companies
5.Iptl ingawa ilipata misuko suko ya escrow
6. Aminza industries
7.Asilia
8.cosad companies
9.kairuki
10.Tusiime na Mushumbusi
 
Utoke Dar uende Iringa afu usafiri kwa Bus km zaidi ya 200 kufika Njombe/Makete huu si wehu bora kuja na gari binafsi tuu
Hakuna abiria wa ndege huko ndo maana serikali Wala haishtuki kuwekeza uwanja wa ndege huko
 
Sisi Njombe tuna millionaires zaidi ya 10000 wametapakaa nchi nzima wote wakirudi kuwekeza Njombe haikamatiki tena
Hiv unadhani wasomi,matajiri na wafanyabiashara wa bukoba wakiamua kuwekeza bukoba tu si serikali itaogopa na kudhani kagera itajitenga.


Moja ya kitu Nyerere alifaulu ni kuhakikisha vyama vya ushirika kagera vinakufa vyote.maana ndo vimezalisha wasomi na wasomi kweli
 
Kuna mtu kawazuia kuwekeza? Sema hivi hakuna fursa za kuzalisha pesa huko
 
Kuna mtu kawazuia kuwekeza? Sema hivi hakuna fursa za kuzalisha pesa huko
Na serikali inawekeza trillions 7.... ujenzi wa reli ya Kisasa ya kwanza nchini kipande kuanzia Tabora- Mwanza... basi ingeanza na Njombe
 
Kuna mtu kawazuia kuwekeza? Sema hivi hakuna fursa za kuzalisha pesa huko
Kijana hakuna fursa?

Mkoa umepakana na nchi nne
Kuna maziwa Kama Victoria,ikimba,rwelu, bugigi nk
Kuna bonde la mto kagera na ngono.
Kuna mvua za kutosha. mvua ni mwaka mzima bukoba
Kuna miundombinu barabara,bandari mbili, airport nk
Udongo wenye rutuba
Kuna national Parks burigi chato na ibanda rumanyika.
Na game reserves Kama kyamunene na minziro
Kuna beach Kama zote ni wew tu ujenge hotel wap
Kuna soko la kutosha angalia population ya kagera.


Nk nk
 
Kanda kuu ndio inayotoa watu wenye akili nyingi. Siyo mijitu inakimbilia kujinyonga kama like li chifu la wahehe. Yanajua kuvuta bangi tu.
 
Kama vyote hivyo vipo inakuaje mkoa unakuwa hivi? πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†





 
Na serikali inawekeza trillions 7.... ujenzi wa reli ya Kisasa ya kwanza nchini kipande kuanzia Tabora- Mwanza... basi ingeanza na Njombe
Njombe tuna sgr yetu inangoja madini sio kama hiyo yenu ililetwa kisiasa
 
Naendelea kuwachapa na Jiji la Taaluma Mbeya City.

Hiki hapa chuo cha Utumishi wa umma tawi la MbeyaπŸ‘‡πŸ‘‡







 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…