Kahama VS Njombe/Mafinga

Hao wote uliowataja pengine 20 tu wananyumba kwaoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Nimefika Bukoba, na kwa ukweli kabisa bila kuwa bias, Tuchukue miji miwili niwili kwa nyanda za juu kusini kisha na miji miwili ya Kagera
1. Mbeya na Kyela
2. Songwe pale Mlowo na Tunduma
3. Iringa na Mafinga
4. Njombe na Makambako
Kisha Bukoba Mjini na Biharamulo
Kwa vyovyote kwa tathmini yangu tena bila unafiki, Mbeya imeizidi mbali sana Bukoba mjini. Likewise Kyela imeizid au angalau kidogo ni sawa na Biharamulo(Kyerwa, Ngara, Muleba bado kwa Kyela kidogo pale Karagwe njia panda ya Murongo)
Mji wa Iringa na Mji wa Bukoba, bado Iringa iko juu sana kwa Bukoba. Mji wa Mafinga hakuna mji wowote wa Wilaya za Kagera unaweza kuifikia Mafinga Mji na kwa kweli hata Mufindi DC as whole-economically na PPP!
Mji wa Njombe na Mji wa Bukoba, hii ni kama haipishani sana ni kama ngoma draw, ingawa kwa takwim mpya, Njombe iliizidi Bukoba mjini kwa mapato 2020/2021! Makambako ni mji ambao siyo wa Kiserikali sana, inanipa ugumu kufanya ulinagifu na miji ya Wilaya kama Karagwe, Biharamulo na Ngara. Hata hivyo, Makambako panapata hadhi kwa sababu ya barabara kuu(TANZAM)
Songwe inazidiwa na Bukoba mjini, kwa kua pale Mlowo na au Vwawa ni maeneo mapya. Ama kuhusu Tunduma, hakuna Wilaya yoyote katika zote Tanzanka hii ina mji ambao una mzunguko kama Tunduma na hii si kwa Bukoba tu ni miji karibu yote ambayo ni makao makuu ya Wilaya Tanzania nzima(labda Kahama na Mafinga TC)
Kwa hiyo ndugu yangu, huwez kubeza nyanda za juu kusini, kwa kweli wanajitahid sana kule.
Credit pekee kwa MKOA wa Kagera, ni kuwa una wasomi wengi sana lakini wengi wakiwa miji mikubwa kama Dar, Mwanza nk lakini hawapo au hawajawekeza sana biashara Mjini Bukoba. Jambo la pili, wengi wa watu wa Kagera, wamejenga nyumba nzuri mashambani mwao, na hivyo Bukoba mjini kuachwa yatima. Kama kwa hali zao wangejenga mji mkuu wao, Bukoba ingetisha.
 
Dar ya wapi? Hujui kwamba 60% ya hayo makusanyo hubakia Halmashauri husika? Endelea kuleta miradi ya zama za mawe
 
Babu toka humo ziwani waache vyura njoo nchi kavu ukutane na mkeka mkali kama huu,bado Niko Sumbawanga


View attachment 1879927

View attachment 1879929

View attachment 1879930

View attachment 1879931

View attachment 1879933
Kijana hiv barabara ya lami ni kitu Cha kujivunia?



Wakati lami kwa bukoba imesogea vijijini


Barabara za lami huko kamachumu vijijini wilayani muleba.
Barabara imejengwa na madoni wa kihaya wakishirikiana na mbunge wao.

Muhutwe mpaka nshamba Km 51
 
Hutaiweza hata Iringa tu ndugu yangu.
 
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† Hiyo ni lami au kokoto za kupunguza vumbi?

Kijiji kizima cha Bukoba na Lake zone yote ukipata dual carriage kama hii hapa Sumbawanga nitag πŸ‘‡πŸ‘‡







 
Ikumbukwe kuwa Njombe ilikua sehemu ya Iringa hadi 2012 wakati bukoba ni makao makuu ya mkoa kwa zaidi ya miaka 30 hivyo Njombe iko juu
 
Vyura na Binadamu mnashindania humo ziwani.

Bado Niko Swax,Kijiji chote cha BK mkinionesha stand kama hii hapa nafunga thread πŸ˜πŸ˜πŸ‘‡πŸ‘‡





 
kiuchumi njombe iko vizuri huwez pata nyumba ya makuti njombe lkn kimchangamko Kahama imechangamka sana coz ni barabara kuu ya mipakani hususan Est Africa so lazima pachanganye zaidi lkn kwa kilimo Njombe is Best
 
Hao wote uliowataja pengine 20 tu wananyumba kwao
Unaongea huku ukiwa unaumia.



Kwa Tanzania hakuna mkoa uliojengeka vijijini Kama kagera. Hasa zile wilaya za wahaya


Siku ikitembelea vijiji vya wahaya ndo utasema kusoma Kuna faida aisee


Makazi huko bukoba vijijini.
 
Mbeya ni Mji mkubwa na mkoa wa Mbeya kiujumla ni namba tatu kwa uchumi nchi hii huwezi linganisha na huto tutakataka.

Size ya Kagera ni Rukwa.Mbeya imeizidi Mwanza kwa vyuo vikuu ndio ulinganishe na huto tuvijiji ?
 
Ikumbukwe kuwa Njombe ilikua sehemu ya Iringa hadi 2012 wakati bukoba ni makao makuu ya mkoa kwa zaidi ya miaka 30 hivyo Njombe iko juu
Nimetembelea Tz 75% kiukwel kwa miji ya nyanda juu kusini huwez linganisha na Kagera hata ΒΌ kwan nyanda za juu miji yake imechangamka sana huwez linganisha wilaya za Kagera na Wilaya za Iringa maybe za njombe coz Njombe mjini na makambak ndiko paliko pambazuka lkn sio Ludewa;Wanging'ombe na Njombe vijijni kimkoa Njombe iko vzr lkn kiwilaya Kagera iko vizuri zaidi kama Muleba na Karagwe bila kusahau Misenyi lkn kule nshamba bado san kama kama ilivyo Igwachanya (Wanging'ombe )
 
Wala sijasema ukubwa wa miji hata kidogo.


Bukoba ni kamanispaa kadogo ilo nakubaliana na wew sema kanajitosheleza .

Kana airport, barabara za lami,bandari,starehe,masoko,maji,umeme na Hadi viwanja vya mpira. Ambazo miji ya kusinni huwezi kukuta mji una Mambo yote hayo katika sehemu Kama ilivyo bukoba.



Lakin ukitembelea vijjiji vya kagera ndo utaona faida ya elimu aisee. Huko Kuna majengo na majengo na majumba.


Shida ya mikoa mingi bongo unakuta miji imeendelea Sana na mikubwa ( Kama ilivyo kusini) lakin haijitoshelezi na ukienda vijijini Sasa ndo majanga matupu.
Lakin hii ni tofauti kwa mkoa wa kagera . Wilaya ya muleba kwa mfano haina mji wowote ule zaidi ya Vicenter vidogo lakin vijijini huko Kuna majumba,maji ,umeme barabara,chakula ndo maana Ina population density ya juu.



Mkuu nikuulze swali. Hiv ni Lazima ukiwa na pesa uwekeze mjini?


Binafsi naona wahaya wako sahihi kuwekeza vijijini kwao ndo maana na serikali inawafata kwa kuwajengea barabara,umeme,maji nk.


Wilaya ya muleba ni barabara mbili tu ambazo hazina lami na hakuna Kijiji kisichokuwa na umeme
 
Imejengeka eeh,ni hivi nyie Kijiji cha Bukoba size yenu ni Sumbawanga

Ukipata apartments organized kama haya ya NHC Sumbawanga nitag πŸ‘‡πŸ‘‡





 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…