tino shinzo
Member
- Oct 19, 2020
- 10
- 12
Usichanganye hoja. Bulyang'hulu haiko kwenye manspaa ya Kahama bali iko halmashauri ya msalala ! Siyo sehemu ya mji wa Kahama.
Hizo pesa na ndogo Sana na hao watu ni wachache sana,Njombe kwenye mashamba ya chai na vitalu vya miti ya parachichi imaajiri watu zaidi na kulipa pesa zaidi tofauti ni kwamba inakuwa Kazi za msimu vs za kudumu
Wewe ni kiazi tu, nimesemea ubora wa huduma. Kuitwa Hospital ya Kanda unajua inamaanisha nini? Na Kahama ipo Kanda ipi kwani?Mhhh. Kahama wana hospitali ya Kanda ? Wana stand za mabus ngapi ? Wewe wa ajabu kabisa. Unalinganisha Kahana na Jiji la Mwanza ? Kihuduma na mpangilio wa mji bado Shinyanga ni nzuri kuliko hiyo Kahama yako.
Order please 😁😁Wewe ni kiazi tu, nimesemea ubora wa huduma. Kuitwa Hospital ya Kanda unajua inamaanisha nini? Na Kahama ipo Kanda ipi kwani?
Kuhusu Stand ya Mabus kwa Kanda ya ziwa, ukitoa Stand ya Nyegezi tu, stand inayofuata kwa kupokea wingi wa mabus ni Kahama. Na stand inayokesha yaani hakuna kulala masaa 24 Stand ya Kahama na hiyo ya Nyegezi zinafanya hivyo.
⚟Karibuni kwenye mada.
Nawiwa kuilinganisha na kushindanisha mji wa Kahama na Njombe au Mafinga.
Je, ni mji gani mzuri na una future kubwa kifursa kuliko mwenzie in terms of maendeleo na ukuaji?
Mmmm chalinze na mkulanga zipoo juu Sanaa nn kinachangia au uwepo wa viwanda vya kutoshaaa ?
Pale ni viwanda vipo vingi sanaMmmm chalinze na mkulanga zipoo juu Sanaa nn kinachangia au uwepo wa viwanda vya kutoshaaa ?
Duuuu viwanda vinasaidia Sanaa afu wapo kalibu na dsm kwaiyoo hata uuzaji wa bizaa ni rahisi kwaiyo mapato yapoo ya kutoshaa hata ss makambako viwanda vikikamilila na uzalishaji ukaanza mapato yataongezeka tuuu ishu n masoko ya uhakikaaa Kama mbeyaPale ni viwanda vipo vingi sana
Ilemela ikianza kuvuna mzigo wa refiner itakuwa level za akina Kinondoni
Mkuuu apoo umeenda mbali sana kumbuka hata makao makuu ya mkoa ni wilayaa pia kwaiyoo unataka useme wilaya ya morogoro, moshi, temeke nk zote mmezipitaaaKahama huwezi linganisha na wilaya yoyote Tanzania
Huwezi fananisha Moshi na Kahama, Wala Temeke na Kahama. Labda ilalaMkuuu apoo umeenda mbali sana kumbuka hata makao makuu ya mkoa ni wilayaa pia kwaiyoo unataka useme wilaya ya morogoro, moshi, temeke nk zote mmezipitaaa
Wewe ni kiazi tu, nimesemea ubora wa huduma. Kuitwa Hospital ya Kanda unajua inamaanisha nini? Na Kahama ipo Kanda ipi kwani?
Kuhusu Stand ya Mabus kwa Kanda ya ziwa, ukitoa Stand ya Nyegezi tu, stand inayofuata kwa kupokea wingi wa mabus ni Kahama. Na stand inayokesha yaani hakuna kulala masaa 24 Stand ya Kahama na hiyo ya Nyegezi zinafanya hivyo.
Wewe ni kiazi tuWewe mburula toa ujinga wako hapa. Kahama ina hosipital gani yenye huduma kulinganisha ngazi ya sekotoure. Mji wenu hauna hata city centre umekaa shaghalabghala. Fyuuuu. Kahama ni wilayani tu acha kutuchosha na post za kishamba hapa.
Ilemela ikianza kuvuna mzigo wa refiner itakuwa level za akina Kinondoni
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Wewe ni kiazi tu
Sekou Toure ni Hospital ya Mkoa mzima wa Mwanza. Kahama ni Mkoa????
Yaaani ndio ujue Kahama ni Level nyingine ingekuwa ni Makao makuu ya Mkoa usinge leta hoja ya kipuuzi hivi.
Mbali na hapo huduma za Afya Kahama Bado ni za uhakika kutoka kwenye hospital za binafsi Kama Aga Khan, BAKWATA na Marie stoppers na hata zile za serikali.
Hospital ya Wilaya Kahama unaweza weka group moja na Hospital ya Nyamagana Kona ya Butimba au Hospital ya Ilemela kule Kabusungu.
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Iyoo ndo changamoto ya masoko mengi apoo itabidi serikali ichukue Kodi kidogo Sana ili kuwashawishi waludi ndani soko la njombe liko poa halijaenda Sana juu tofauti na kisutu na machinga complex ayoo ni vigumu kuwashawishi wafanyabiashara watumie mfano Nani umpandishe floo ya5 au ya nne hayako poa ilaa kwa njombe halmashauri ikijipanga watu watajaa sokoni au waweke kituo Cha daladala au bajaji kalibu na sokoo apoo watashinda tuuu
Kahama haifikirii kuwa makao makuu ya mkoa, tunaangalia kuwa jiji baada ya miundo mbinu kuwekwa sawa.Makao Makuu ya mkoa mtayapata wapi nyie? Hata hiyo Manispaa mlipendelwa tu.
Jirani na Dar kwenye soko la uhakika mkuu ,hayo maeneo yanajengwa maviwanda hatariMmmm chalinze na mkulanga zipoo juu Sanaa nn kinachangia au uwepo wa viwanda vya kutoshaaa ?
Acha masihara basi mkuu yaani Kahama hiyo ya kichuuzi ndio iwe Jiji? Acha dharau wewe kwa status ya CityKahama haifikirii kuwa makao makuu ya mkoa, tunaangalia kuwa jiji baada ya miundo mbinu kuwekwa sawa.
Unatakiwa kujua baada ya haya majiji 6
1. Dar es salaam
2. Mwanza
3. Arusha
4. Mbeya
5. Dodoma
6. Tanga
Nafasi zinazofuata ni
7. Zanzibar
8. Kahama
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app