Kahama VS Njombe/Mafinga

Attachments

  • FB_IMG_16130324622235599.jpg
    8.3 KB · Views: 6
  • FB_IMG_16130312599422177.jpg
    16 KB · Views: 17
Yan vi

Haya makambako hyo hizo Ni hospital ambazo moja ipo umbali wa km 15 toka mjin na nyingine km 20 na kote kumekucha
sasa hiki ndio nini umepost hapa,toa uchafu hapa mkuu tunataka picha za aerial au ghorofa sio magodown ya kutunzia mitumba

Harafu ukinionyesha barabara ya Lupembe-Mkambako kwenye ramani hii hapa chini nafunga acc jf
 

Attachments

Yan vi

Haya makambako hyo hizo Ni hospital ambazo moja ipo umbali wa km 15 toka mjin na nyingine km 20 na kote kumekucha
 

Attachments

  • FB_IMG_16130323965924744.jpg
    10.4 KB · Views: 7
  • tmp-cam-6611546106928764119.jpg
    11.2 KB · Views: 8
sasa hiki ndio nini umepost hapa,toa uchafu hapa mkuu tunataka picha za aerial au ghorofa sio magodown ya kutunzia mitumba
We ndo mshamba kwel maendeleo sio gorofa gorofa inamaanisha mnauhaba wa ardhi au Kuna milima imezidi
 
Mdatchu ,Unachafua uzi kwa vipicha vya vijumba vya corrugated iron sheet,kama huna picha za maana bora uache,tukisema tuweke vipocha vya hivyo seva za jf zitashindwa ku respond na maana ya uzi itakuwa hakuna.

Afu unaweza fungua uzi wa Makambavo vs Njombe hapa unanichafulia uzi wangu wa Kahama vs Njombe ,la sivyo post ghorofa tuu humu
 
We ndo mshamba kwel maendeleo sio gorofa gorofa inamaanisha mnauhaba wa ardhi au Kuna milima imezidi
Sawa wewe mjanja wa maendeleo ila Mji bila ghorofa ni kijiji kwa hiyo kama hakuna ghorofa ya ku post kaa kimya,by the way Makambako ni kijiji tuu hakuna chochoe hapo zaidi ya vibanda vya mitumba
 
Nyumba za mtoni ruhuji hahaha
 
Yan vi

Haya makambako hyo hizo Ni hospital ambazo moja ipo umbali wa km 15 toka mjin na nyingine km 20 na kote kumekucha
Nilisema sitachangia uzi, lakini hizi picha huu ni utani. Vitu kama hivi ni very minor, vijijini huko vimetapakaa kila mahali, au mdau hujatembea Tanzania? Picha gani unatuwekea hizi kujaza kwenye page za JF unnecessarily?
 

Attachments

  • IMG_20210211_181348.jpg
    155.4 KB · Views: 8
  • IMG_20210211_181333.jpg
    149.9 KB · Views: 8
  • IMG_20210211_181228.jpg
    92.4 KB · Views: 7
  • IMG_20210211_180317.jpg
    145.8 KB · Views: 8
  • IMG_20210211_175332.jpg
    152.8 KB · Views: 8
  • IMG_20210211_180130.jpg
    184.8 KB · Views: 13
  • IMG_20210211_180317.jpg
    145.8 KB · Views: 8
  • IMG_20210211_180435.jpg
    131 KB · Views: 9
  • FB_IMG_16130490971180618.jpg
    21.8 KB · Views: 8
  • FB_IMG_16130491367018157.jpg
    9.4 KB · Views: 11
Nilisema sitachangia uzi, lakini hizi picha huu ni utani. Vitu kama hivi ni very minor, vijijini huko vimetapakaa kila mahali, au mdau hujatembea Tanzania? Picha gani unatuwekea hizi kujaza kwenye page za JF unnecessarily?
bora na wewe umeliona hilo maana nimesema Hadi nimechoka,jamaa anachafua uzi kwa vitu vya kipuuzi.

Ikumbukwe Kahama walianza ku post guests house tukawachana live
 
Nilisema sitachangia uzi, lakini hizi picha huu ni utani. Vitu kama hivi ni very minor, vijijini huko vimetapakaa kila mahali, au mdau hujatembea Tanzania? Picha gani unatuwekea hizi kujaza kwenye page za JF unnecessarily?
Ambae hujui Tanzania n ww unashinda shamban
 

Attachments

  • FB_IMG_16130642896182282.jpg
    17.7 KB · Views: 8
  • FB_IMG_16130644184991573.jpg
    18.4 KB · Views: 13
  • FB_IMG_16130645198874783.jpg
    44.4 KB · Views: 11
  • FB_IMG_16130644576826027.jpg
    24.8 KB · Views: 7
  • FB_IMG_16130645013162686.jpg
    45.3 KB · Views: 8
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…