Kahama VS Njombe/Mafinga

Wewe una matatizo na hicho Kijiji chako, ambacho hakiwezi kuishinda hata Katoro
Naona tayar umeanza kuweweseka dose bado katoro inakujaje tulisha itoa nje muda hicho bado Kijiji kikashindane na vijiji vyenzie
 
Naona tayar umeanza kuweweseka dose bado katoro inakujaje tulisha itoa nje muda hicho bado Kijiji kikashindane na vijiji vyenzie
Makambako haina soko la kisasa Katoro tayari ina soko la kisasa πŸ˜ƒπŸ€­πŸ€£πŸ€£πŸ€£
Maana yake kipi ni Kijiji hapo?
 
Makambako haina soko la kisasa Katoro tayari ina soko la kisasa πŸ˜ƒπŸ€­πŸ€£πŸ€£πŸ€£
Maana yake kipi ni Kijiji hapo

Makambako haina soko la kisasa Katoro tayari ina soko la kisasa πŸ˜ƒπŸ€­πŸ€£πŸ€£πŸ€£
Maana yake kipi ni Kijiji hapo?
Achana na Kijiji chako Cha katoro leta project Kama hiz geita cbd
 
Rudi page za nyuma hapo, Makambako bado ni Kijiji kikubwa tu chenye kutu na vumbi

Rudi page za nyuma hapo, Makambako bado ni Kijiji kikubwa tu chenye kutu na vumbi
Page za nyuma ulipost vijengo vingap tu CBD ukaishia kupost ofisi za idara za mkoa tu ambazo kila mkoa mpya una mtaa wenye ofisi hizo sisi na WILAYA mpya zote wamefanya hivyo ko si Jambo geni kabisa Hilo ndo maana nilikwambia tembelea mikoa mipya yote ofisi zote wanajenga mtaa mmoja tunataka CBD hii ndo inaonyesha uwezo wa watu wa eneo husika
 
Rudi page za nyuma hapo, Makambako bado ni Kijiji kikubwa tu chenye kutu na vumbi

Rudi page za nyuma hapo, Makambako bado ni Kijiji kikubwa tu chenye kutu na vumbi
Page za nyuma ulipost vijengo vingap tu CBD ukaishia kupost ofisi za idara za mkoa tu ambazo kila mkoa mpya una mtaa wenye ofisi hizo sisi tunataka CBD hii ndo inaonyesha uwezo wa watu wa eneo husika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…