Kahama VS Njombe/Mafinga

 
Ebu leta ya msimu wa mvua πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Kama hapajapauka kutu zinaonekana viziri πŸ˜‚πŸ˜‚
Maneno mengi na Kijiji chako ambacho hakina hata mpangilio wacha kazi ziendelee makambako
 
Ebu leta ya msimu wa mvua πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Kama hapajapauka kutu zinaonekana viziri πŸ˜‚πŸ˜‚
HAYA angalia kutu za geita CBD yako tulisha kwambia miji ambayo ilishaanza maendeleo muda mrefu hivyo vitu NI kawaida huwezi linganisha na Kijiji chako hicho ambacho hata mpangilio sifuri
 
Kahama biashara ipo na mji unakua kulingana na rasilimali madini iliyopo uchumi wa lile eneo ni mkubwa kwa upande wa njombe mwingiliqno wa watu ni mkubwa kutokaa na soko la mazao hata wageni kutoka kenya wanakuja kununua mazao njombe hivyo fursa kubwa pale ni kilimo
 
Huna lolote leta CBD usituletee ofisi hapa hizo zipo kila mkoa
Wewe Katoro inakutosha tu siwezi kuhangaika na Geita kulinganisha na hivyo vijiji vyenu vikubwa vya ujamaa

Ndani ya CBD Katoro hakuna uchafu wa kutu πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ˜˜
 
Sasa

Sasa tabora inahusikaje unataka iwasaidie
Toa matongotongo πŸ˜‚πŸ˜‚ huwa mnapost Mbeya na Songea kwani huwa inahusikaje humu?

Ili ujue miji yenu ni vijiji vikubwa ndio maana nakuwekea miji ya kanda za kina Ngosha ili angalau upunguze ushamba wa kuvipatia sifa zisizo stahili hivyo vijiji vyenu 🀣🀣
 
Sasa tabora toka Lin ikawa Kanda ya ziwa we jamaa hata jiografia ya nchi hujui Basi miji mingi unaishia ku Google tu
 
Punguza Ushamba, na ujaribu kuwa mfatiliaji wa miji mingine ushamba utapungua na utaacha kusifia hiki Kijiji chako ona uchafu hapo CBD πŸ‘‡
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…