Kahama VS Njombe/Mafinga

Pembeni angalau kutu zimepungua
Shida ni huuπŸ‘‡uharo kwenye CBD😁😁🀣🀣
Uhalo gan tulisha kwambia CBD SAIZ ZINASHUKA GOROFA NA KUWA NA NYUMBA ZENYE KUTU KATIKATI YA MJI NI KAWAIDA KWA MIJI MINGI KWAni mji ndo ulianzia hapo kinacho angaliwa mji una mpangilio sio kujenga holela mji ukakosa miundombinu MUHIMU mji ukiwa planned kubadili majengo sio shida ndo maana kwa Sasa makambako CBD wanavunja na kushasha vitu vikiwa kwenye ramani ile ile ilaasa ni mwendo huuπŸ‘‡πŸ‘‡
 
Acha kutapatapa na gulio lako hilo πŸ˜‚πŸ˜‚
Video uliyopost inaonyesha uharo tupu mandhari ya mji ni chafu tu CBD imejaa kutu halafu unaanza kuokoteza kajengo kamoja πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nikiweka picha za CBD ya Katoro hakuna uchafu wa kutu na mandhari ni yakuvutia kama πŸ‘‡πŸ‘‡ hapo 😘
Miji yenu ni uchafu yaani ni vijiji vilivyokuwa kwa Kasi zamani na ujenzi wa nyumba za kizamani ambazo karibu 85% pale CBD ni vyema zibomolewe otherwise Makambako CBD itaendelea kuwa na mwonekano wa uharo milele πŸ™
 

View: https://www.instagram.com/p/DNnCzPJNbjZ/?igsh=YzljYTk1ODg3Zg==
 
Hichi NI Kijiji milele hakuna mpangilio wowote Kama ndo CBD tafuta vijiji vyenzake ndo ushindanishe mzee unatuchosha akili
 
Kaaa kwa kutilia vitu vinanyanyuka CBD
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…