ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,425
- 85,247
- Thread starter
-
- #20,701
Hivi bijumba si Bora hata vya kule kwenu Katoro mnakonyanyua mapaja kama mnataka kuruka? ππNHC waliona Geita inakuja moto nao kama kawaida wakapata eneo kwenye satellite city
View attachment 3345461
Unasinguzia video haifunguki ππHata Kasulu kuna majengo mazuri ππ weka surroundings sasa tuone hayo masankulo π€π€π€π€π€
Unajizima data hapo nimekuonyesha kiwanja tu sio π€ππππUmehamia kwenye viwanja,na Mimi nihamie kwenye Vyuo? ππ
Hapa ni stendi tu na nyuma ya stendi ni masankulo kama kawaida yenu, hiki Kijiji chenu kawaida kabisa kulinganisha na akina Kahama, mafinga n.kUnasinguzia video haifunguki ππ
Fungulia kw insta uone Njombe π₯ π₯ π π
View: https://www.instagram.com/reel/Cr3-bS0r0PQ/?igsh=MTF2OGhlN2ptcTBoMw==
Je, mna satellite town hapo Njombe π€ πππ?Hivi bijumba si Bora hata vya kule kwenu Katoro mnakonyanyua mapaja kama mnataka kuruka? ππ
Njombe π π View attachment 3345991
Kwenye hicho kijiji chako cha Makambako kuna satellite town πππ?Umekula za uso maneno kibao uzi mzima unarudia picha zilezile kwel hiyo manispaa uchwara makambako again.View attachment 3345987
Hapo umeona kiwanja tuπππ, mambo mengine ya ki-Dodoma Dodoma hutaki kuyaona sio π π€ πUmehamia kwenye viwanja,na Mimi nihamie kwenye Vyuo? ππ
Weka video ya stendi ya Geita tuone kama panafanana hivyo ππHapa ni stendi tu na nyuma ya stendi ni masankulo kama kawaida yenu, hiki Kijiji chenu kawaida kabisa kulinganisha na akina Kahama, mafinga n.k
Sasa mmejengewa stendi kulingana na hadhi yenu ππππHapo umeona kiwanja tuπππ, mambo mengine ya ki-Dodoma Dodoma hutaki kuyaona sio π π€ π
Week tuyaone sio kila muda kurudia ofisi za serikali ambazo zipo kila mkoaKwenye hicho kijiji chako cha Makambako kuna satellite town πππ?
Nyuma ya kanisa tu naona masankulo π€ π
Nawapiga na vitu ambavyo huwezi vikuta kwenye Kijiji ππ na mtavisikia tu.
Makanisa makubwa ya Geita wala sitaki kuweka hapa usije ukakimbia
Niweke mara ngapi?πππ Hata kwa macho ya kawaida huwezi kuona satellite town unavyoandaliwa kwenye hii picha π€π€π na nyingi nimeweka humuWeek tuyaone sio kila muda kurudia ofisi za serikali ambazo zipo kila mkoa
Hizo kanisa viwanja njombe na makambako vpoNiweke mara ngapi?πππ Hata kwa macho ya kawaida huwezi kuona satellite town unavyoandaliwa kwenye hii picha π€π€π na nyingi nimeweka humu
View attachment 3346465View attachment 3346466
Ni nakuuliza, Hapo Njombe/ Makambako mna satellite town π π πHizo kanisa viwanja njombe na makambako vpo
Ww tumegundua huna jipya Yan Hilo eneo la ofisi utaita kila majina maana mmezoea kujenga nyumba holela ndo maana unashangaa hicho kituNi nakuuliza, Hapo Njombe/ Makambako mna satellite town π π π
Kama hamna miji yenu itaendelea kuwa vijiji vilivyo changamka tu
Huwezi kuelewa vitu ambavyo hamuwezi kuwanavyo ππππ¨π¨Ww tumegundua huna jipya Yan Hilo eneo la ofisi utaita kila majina maana mmezoea kujenga nyumba holela ndo maana unashangaa hicho kitu
Makambako againHuwezi kuelewa vitu ambavyo hamuwezi kuwanavyo ππππ¨π¨