Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Endelea kuufatilia mkoa was njombe Mambo yanazidi kuwa mazuri
Unazani Geita Mambo hayawi mazuri? Na wewe ifatilie Geita yaani Mkoa wa njombe kuupita mkoa wa Geita kwa maendeleo ya watu labda kwenye makaratasi, but on the ground sahau
 
Unazani Geita Mambo hayawi mazuri? Na wewe ifatilie Geita yaani Mkoa wa njombe kuupita mkoa wa Geita kwa maendeleo ya watu labda kwenye makaratasi, but on the ground sahau
Hahaha unachekesha una oya shituka angalia moja ya maeneo yaliyokuwa vijiji kuzunguka makambako njombe geita mtaishia kuyaona mashimo
FB_IMG_17451437092101439~2.jpg
FB_IMG_17451436143717892~2.jpg
FB_IMG_17451435544375722~2.jpg
 
Hahaha unachekesha una oya shituka angalia moja ya maeneo yaliyokuwa vijiji kuzunguka makambako njombe geita mtaishia kuyaona mashimo View attachment 3310157View attachment 3310159View attachment 3310160
Unaongelea vijiji huku tunaongelea miji inayokua kwa kasi zaidi ya mitano ndani ya mkoa wa Geita ukiacha Katoro na Geita,
1. Masumbwe mji
Screenshot_20250420-141404.png

2. Runzewe mji
Screenshot_20250420-141758.png

3. Ushirombo mji
Screenshot_20250420-141509.png

4. Chato
5. Nyarugusu
Namba 1 to 3 hii miji yote ni level ya makambako, out of makambako na njombe hakuna mji mwingine wa kulinganisha na hii ndani ya mkoa wa njombe

Yaani kwa Mkoa wa Njombe you have only
1. Njombe mji
2. Makambako mji
At least Ubaruku ndio utakuja kuwa mji wa tatu after many years to come sababu you lack the necessary population to boost fast development ya mji
 
The shocking issue ni kwamba selikari haipati mapato halisi/yanayostahili kutoka kwenye vyanzo mama vya uchumi wa miji hii ( mapato kutoka kwenye madini ya dhahabu) kutokana na ukiritimba mwingi, upigaji mwingi, na mikataba isiyo na tija.

Ndio maana ukija kuangalia kwenye makaratasi ya selikari kwenye GDP ya mkoa unakuta ni ndogo, wakati Geita pekee inaweza kuendesha Budget ya nchi nzima kama rasilimali ya dhahabu ikasimamiwa ipasavyo.

GDP ya mkoa wa Geita haijawahi kuwa na uhalisia na utajiri wa mkoa. Ni nchi ya wajinga tu ndio hali huwa hivi, yaani mkoa una dhahabu kila kona, migodi ya dhahabu zaidi ya 20 halafu mkoa unakuwa haupo top three ya mikoa inayoongoza kuchangia kwenye pato la taifa 😢?
 
Unaongelea vijiji huku tunaongelea miji inayokua kwa kasi zaidi ya mitano ndani ya mkoa wa Geita ukiacha Katoro na Geita,
1. Masumbwe mji
View attachment 3310204
2. Runzewe mji
View attachment 3310205
3. Ushirombo mji
View attachment 3310206
4. Chato
5. Nyarugusu
Namba 1 to 3 hii miji yote ni level ya makambako, out of makambako na njombe hakuna mji mwingine wa kulinganisha na hii ndani ya mkoa wa njombe

Yaani kwa Mkoa wa Njombe you have only
1. Njombe mji
2. Makambako mji
At least Ubaruku ndio utakuja kuwa mji wa tatu after many years to come sababu you lack the necessary population to boost fast development ya mji
Ubaruku iko mbeya.Kwa Njombe kama tunazungumzia towships ni kama ifuatavyo.Hoja sio uwingi wa miji ni kukua kwa mkoa.Mkoa unaweza kuwa mji mmoja na subtowns nyingi.Kwa Njombe ya sasa huwezi jua mji unaanzia wapi na unaishi wapi.Ukitoka Njombe kwenda Makambako hutajua ni wapi Makambako na Njombe inaishia ni almost imeungana kwa kuwa katikati kuna Mtwango subtown.Kuna subtown nyingi kama ilembula,Ikonda,Makete,Ludewa,Igwachanya,Makete,Ikonda,Mlangali.
 

Attachments

  • Image1745167936367.jpg
    Image1745167936367.jpg
    225.3 KB · Views: 8
Mtwango ndio hiyo sijui unstumia satellite gani
Sasa hiki si kijiji tu, subtown ndogo ndogo huku ni kama
1. Lulembela
Screenshot_20250420-204001.png

2. Nkome
Screenshot_20250420-204436.png

3. Bwanga
Screenshot_20250420-205109.png

4. Kakubilo
Screenshot_20250420-210531.png

5. Muganza
Screenshot_20250420-211601.png

Mfano wa miji midogo ni hiyo, level za makete, igwachanya, ludewa etc
 
Kwa mfano Igwachanya hiki si bado kijiji kidogo tu 🤔👇
Screenshot_20250420-212433.png

Compare and contrast na miji midogo ya Geita post ya juu hapo
 
Ubaruku iko mbeya.Kwa Njombe kama tunazungumzia towships ni kama ifuatavyo.Hoja sio uwingi wa miji ni kukua kwa mkoa.Mkoa unaweza kuwa mji mmoja na subtowns nyingi.Kwa Njombe ya sasa huwezi jua mji unaanzia wapi na unaishi wapi.Ukitoka Njombe kwenda Makambako hutajua ni wapi Makambako na Njombe inaishia ni almost imeungana kwa kuwa katikati kuna Mtwango subtown.Kuna subtown nyingi kama ilembula,Ikonda,Makete,Ludewa,Igwachanya,Makete,Ikonda,Mlangali.
Bora umemwambia ndo maana huyu nilimwambia mkoa wa NJOMBE haujui vizuri anaishia kuangalia kwenye Google map
 
Kwa mfano Igwachanya hiki si bado kijiji kidogo tu 🤔👇
View attachment 3310533
Compare and contrast na miji midogo ya Geita post ya juu hapo
Endelea kujidanganya njombe eneo kubwa makazi yameungana huwezi jua njombe imeanzia wapi na imeishia wapi makazi ya halmashauri nne yamesha kutana ambazo NI njombe mji , makambako mji , njombe dc , na wangingombe hapo NI makete na ludewa ndo kidogo zipo mbali ko mkoa wa NJOMBE una advantage ya kukua sana ndo maana viongozi wengi wanaushangaa Kama NI mkoa mpya kwa kasi ya maendeleo ulio nayo na hii zamani kabla njombe haujawa mkoa ilikuwa wilaya moja ya njombe baada kupata mkoa ndo wamemega halmashauri nne lengo NI kuitengeneza njombe ya kitofauti nyanda za juu kusini👇👇👇
FB_IMG_17452264038881503.jpg
IMG-20250326-WA0028.jpg
 
Usilo
Unaongelea vijiji huku tunaongelea miji inayokua kwa kasi zaidi ya mitano ndani ya mkoa wa Geita ukiacha Katoro na Geita,
1. Masumbwe mji
View attachment 3310204
2. Runzewe mji
View attachment 3310205
3. Ushirombo mji
View attachment 3310206
4. Chato
5. Nyarugusu
Namba 1 to 3 hii miji yote ni level ya makambako, out of makambako na njombe hakuna mji mwingine wa kulinganisha na hii ndani ya mkoa wa njombe

Yaani kwa Mkoa wa Njombe you have only
1. Njombe mji
2. Makambako mji
At least Ubaruku ndio utakuja kuwa mji wa tatu after many years to come sababu you lack the necessary population to boost fast development ya mji
Haya huu uwanja wa ndege unajengwa katikati ya halmashauri nne AMBAPO NI km 20 kutoka kwenye kila halmashauri ambazo NI njombe tc , njombe dc , makambako TC na wangingombe dc 👇👇👇👇 KIWANJA CHA KISASA KUJENGWA NJOMBE KARIBUNI

Naibu Waziri wa Uchukuzi David Kihenzile amesema kwa mwaka wa fedha 2025/2026 Serikali inatarajia kutenga fedha kwa ajili ya kukamilisha upembuzi yakinifu na usanifu wa kina kwa kiwanja cha ndege cha kisasa cha Njombe, na tayari Serikali imeidhinisha taarifa za awali za upembuzi yakinifu na usanifu wa kina ambapo zaidi ya shilingi milioni 800 zilitengwa kwa mwaka 2024/2025.

Akijibu swali la Mbunge wa Njombe Mjini, Deodatus Mwanyika bungeni Dodoma Aprili 10, 2025, Kihenzile amesema mara baada ya taratibu hizo kukamilika, ujenzi utaanza kulingana na upatikanaji wa fedha.

Akielezea umuhimu wa Kiwanja cha Ndege cha Njombe, Kihenzile amesema ni muhimu kimkakati hususani kwenye kukuza uchukuzi katika usafiri wa anga kijamii, kiuchumi na kibiashara ikiwemo biashara ya mazao ya misitu, mbogamboga, matunda (maparachichi) ambayo yote hayo huzalishwa na kusafirishwa nje ya nchi.

Aidha, kufuatia uboreshwaji wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) uliopelekea manunuzi ya ndege kubwa ya mizigo aina ya Boeing 767-300 F, Serikali kupitia Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) kwa kushirikiana na Mkoa wa Njombe imekamilisha uchambuzi wa eneo jipya la TANWAT kwa ajili ya ujenzi wa kiwanja kipya cha ndege, na sasa Serikali inaendelea na taratibu za utwaaji wa ardhi.
 
Usilo

Haya huu uwanja wa ndege unajengwa katikati ya halmashauri nne AMBAPO NI km 20 kutoka kwenye kila halmashauri ambazo NI njombe tc , njombe dc , makambako TC na wangingombe dc 👇👇👇👇 KIWANJA CHA KISASA KUJENGWA NJOMBE KARIBUNI

Naibu Waziri wa Uchukuzi David Kihenzile amesema kwa mwaka wa fedha 2025/2026 Serikali inatarajia kutenga fedha kwa ajili ya kukamilisha upembuzi yakinifu na usanifu wa kina kwa kiwanja cha ndege cha kisasa cha Njombe, na tayari Serikali imeidhinisha taarifa za awali za upembuzi yakinifu na usanifu wa kina ambapo zaidi ya shilingi milioni 800 zilitengwa kwa mwaka 2024/2025.

Akijibu swali la Mbunge wa Njombe Mjini, Deodatus Mwanyika bungeni Dodoma Aprili 10, 2025, Kihenzile amesema mara baada ya taratibu hizo kukamilika, ujenzi utaanza kulingana na upatikanaji wa fedha.

Akielezea umuhimu wa Kiwanja cha Ndege cha Njombe, Kihenzile amesema ni muhimu kimkakati hususani kwenye kukuza uchukuzi katika usafiri wa anga kijamii, kiuchumi na kibiashara ikiwemo biashara ya mazao ya misitu, mbogamboga, matunda (maparachichi) ambayo yote hayo huzalishwa na kusafirishwa nje ya nchi.

Aidha, kufuatia uboreshwaji wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) uliopelekea manunuzi ya ndege kubwa ya mizigo aina ya Boeing 767-300 F, Serikali kupitia Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) kwa kushirikiana na Mkoa wa Njombe imekamilisha uchambuzi wa eneo jipya la TANWAT kwa ajili ya ujenzi wa kiwanja kipya cha ndege, na sasa Serikali inaendelea na taratibu za utwaaji wa ardhi.
Geita uwanja tunao tayari
Endelea kujidanganya njombe eneo kubwa makazi yameungana huwezi jua njombe imeanzia wapi na imeishia wapi makazi ya halmashauri nne yamesha kutana ambazo NI njombe mji , makambako mji , njombe dc , na wangingombe hapo NI makete na ludewa ndo kidogo zipo mbali ko mkoa wa NJOMBE una advantage ya kukua sana ndo maana viongozi wengi wanaushangaa Kama NI mkoa mpya kwa kasi ya maendeleo ulio nayo na hii zamani kabla njombe haujawa mkoa ilikuwa wilaya moja ya njombe baada kupata mkoa ndo wamemega halmashauri nne lengo NI kuitengeneza njombe ya kitofauti nyanda za juu kusini👇👇👇View attachment 3310916View attachment 3310932
Hata Geita ilikuwa wilaya. Na msitafute pa kujifichia, nimeshawawekea miji 7 ndani ya mkoa wa Geita inayokua kwa kasi,
1. Masumbwe
2. Runzewe
3. Ushirombo
4. Nyarugusu
5. Chato
6. Katoro
7. Geita

Njombe mna miji miwili
1. Makambako
2. Njombe

Yaani njombe kuna miji miwili tu unayoweza kulinganisha na miji 7 mikubwa ndani ya mkoa wa Geita
 
Endelea kujidanganya njombe eneo kubwa makazi yameungana huwezi jua njombe imeanzia wapi na imeishia wapi makazi ya halmashauri nne yamesha kutana ambazo NI njombe mji , makambako mji , njombe dc , na wangingombe hapo NI makete na ludewa ndo kidogo zipo mbali ko mkoa wa NJOMBE una advantage ya kukua sana ndo maana viongozi wengi wanaushangaa Kama NI mkoa mpya kwa kasi ya maendeleo ulio nayo na hii zamani kabla njombe haujawa mkoa ilikuwa wilaya moja ya njombe baada kupata mkoa ndo wamemega halmashauri nne lengo NI kuitengeneza njombe ya kitofauti nyanda za juu kusini👇👇👇View attachment 3310916View attachment 3310932
Hiyo linear settlement inawachanganya sana sababu kwenu huko naona ni kitu kigeni. Na barabara ya kutoka njombe to makambako hapo katikati inapita ndani ya wilaya ya Wanging'ombe-njombe dc- makambako na ni makazi yanayofuata barabara na pia ni Short distance
FB_IMG_17452264038881503 (1).jpg
 
Hiyo linear settlement inawachanganya sana sababu kwenu huko naona ni kitu kigeni. Na barabara ya kutoka njombe to makambako hapo katikati inapita ndani ya wilaya ya Wanging'ombe-njombe dc- makambako na ni makazi yanayofuata barabara na pia ni Short distance
View attachment 3312476
We huyajui mazingira haya hiyo linear settlement itoke wapi hili eneo kwa Sasa makazi yamesambaa kumbuka lilikuwa NI wilaya moja ukifika makambako tu ukiwa eneo la soko la kimataifa utapata view ya eneo tunalo liongelea maana NI tambarare ya kutosha pia ukiwa hifadhi ya mpanga kipengere una pata view yote ko kimiundombinu lilisha imashwa baada ya kumaliza lami ya igwachanya hadi itulahumba saizi wataanza ya mtwango hadi ikuna Hilo eneo tunalo kuonesha Lina sub town zinazo kuwa Kama mtwango , igwachanya , na ilembula plus miji mikubwa ya makambako na njombe hapo tumeacha miji inayo ibuka makete dc na ludewa dc
 
Geita uwanja tunao tayari

Hata Geita ilikuwa wilaya. Na msitafute pa kujifichia, nimeshawawekea miji 7 ndani ya mkoa wa Geita inayokua kwa kasi,
1. Masumbwe
2. Runzewe
3. Ushirombo
4. Nyarugusu
5. Chato
6. Katoro
7. Geita

Njombe mna miji miwili
1. Makambako
2. Njombe

Yaani njombe kuna miji miwili tu unayoweza kulinganisha na miji 7 mikubwa ndani ya mkoa wa Geita
Na geita mna mji mmoja tu ambao NI manispaa ya geita vingine NI vi sub town ambavyo kwa Sasa kila Kona ya Tanzania vipo
 
Hiyo linear settlement inawachanganya sana sababu kwenu huko naona ni kitu kigeni. Na barabara ya kutoka njombe to makambako hapo katikati inapita ndani ya wilaya ya Wanging'ombe-njombe dc- makambako na ni makazi yanayofuata barabara na pia ni Short distance
View attachment 3312476
We bado tunakwambia kwa kuhusu suala makazi na future ya mkoa kwa rasilimali ilizo nazo geita kwa njombe imesha achwa tayar Yan geita kinacho wainuaga muonekane NI madini tu Tena ya aina moja tofauti na njombe ambayo kwa Sasa Ina kila fursa na eneo hili ndilo litakalo unda jiji la njombe kulingana na UWEKEZAJI una endelea na ndio miji inavotakiwa kuwa Sasa jamaa unaanza kutuletea kambi za wachimbaji wa madini unasema mji madini yakiisha wanakimbia hakuna uchumi endelevu njombe wametengeneza uchumi endelevu unao mgusa hata raia wa chini huji kusikia analia njaa
 
ENEO LA TANWAT NI FULL PROJECT uwanja wa ndege na viwanda 👇👇👇Serikali ya Tanzania, kupitia Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (TAA) kwa kushirikiana na uongozi wa Mkoa wa Njombe, imekamilisha tathmini ya eneo jipya la TANWAT kwa ajili ya ujenzi wa uwanja wa ndege wa kisasa. Mradi huu unalenga kuboresha usafiri wa anga na kuchochea ukuaji wa uchumi katika mkoa huo.

Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mhe. David Kihenzile, alieleza kuwa Njombe ni eneo la kimkakati kwa usafirishaji wa mazao ya misitu, mboga mboga, na matunda kama parachichi kwenda nje ya nchi. Serikali imeidhinisha utafiti wa awali na usanifu wa kina, na imetenga shilingi milioni 805 kwa mwaka wa fedha 2024/2025 kwa ajili ya maandalizi ya ujenzi.

James Atilio Mchumi
FB_IMG_17453758463327738.jpg
FB_IMG_17453757646958077.jpg
 
Na geita mna mji mmoja tu ambao NI manispaa ya geita vingine NI vi sub town ambavyo kwa Sasa kila Kona ya Tanzania vipo
Endelea kujifariji, unaijua vizuri Katoro!? Kwa kanda ya ziwa miji ya kibiashara ukiacha Mwanza na Kahama the next ni Katoro, Masumbwe, Runzewe na Ushirombo ni balaa jingine kanda ya ziwa.
 
Back
Top Bottom