Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,494
- 113,590
Wana bodi, hii ni kubwa kuliko na kali ya aina yake sio tetesi, ni uhakika wa 100% Kagoda inajulikana na wote, ni Safi, na kamwe haitafikishwa mahakamani.
Nikiwa mjini Dodoma kwenye kona kona za hapa na pale, nilibahatika kukutana mmoja wa waheshimiwa wenye nguvu sana nchi hii. Katika mazungumzo yetu, mimi nilimbeza kuwa Mkuu wa kaya ni dhaifu, hana uwezo, na too weak to fight mafisadi kweli.
Basis ya udhaifu wa mkuu wa kaya niliuelekeza kwa kile kitendo cha kuushindwa mpasuko wa Zanzibar nikampa na angalizo kuwa kitendo cha kumuonea aibu Kagoda na kuendelea kuwakumbatia mafisadi ndani ya chama, kitamcost, kasababu atafikia mahali akashindwa kuwabeba, uzito utamwelemea, mwisho au watamuangusha, au wataanguka nae.
Akamtetea mkuu wa kaya kuwa sio kweli ni dhaifu, issue ya Zanzibar hata yeye haimfurahishi, ila wengi wape.
Ndipo akanipa siri ya Kagoda, kumbe Kagoda, alirudisha fedha zote, hivyo hadaiwi hata senti moja, hivyo unamfikisha mahakamani kumdai nini?
Eti kumbe Kagonda ni mtu safi, clean, tatizo liko wapi?
Kwa hiyo wanabodi, suala la Kagoda ni kelele tuu za mlango, hazimkoseshi mwenye nyumba usingizi.
NB. Pamoja na JF 'where we dare talk open', nawaombeni nimhifadhi source wangu kwa kutumia 'confidentiality of the source', ukiaminiwa, jiaminishe.
Naomba kuwasilisha
Pasco
Nikiwa mjini Dodoma kwenye kona kona za hapa na pale, nilibahatika kukutana mmoja wa waheshimiwa wenye nguvu sana nchi hii. Katika mazungumzo yetu, mimi nilimbeza kuwa Mkuu wa kaya ni dhaifu, hana uwezo, na too weak to fight mafisadi kweli.
Basis ya udhaifu wa mkuu wa kaya niliuelekeza kwa kile kitendo cha kuushindwa mpasuko wa Zanzibar nikampa na angalizo kuwa kitendo cha kumuonea aibu Kagoda na kuendelea kuwakumbatia mafisadi ndani ya chama, kitamcost, kasababu atafikia mahali akashindwa kuwabeba, uzito utamwelemea, mwisho au watamuangusha, au wataanguka nae.
Akamtetea mkuu wa kaya kuwa sio kweli ni dhaifu, issue ya Zanzibar hata yeye haimfurahishi, ila wengi wape.
Ndipo akanipa siri ya Kagoda, kumbe Kagoda, alirudisha fedha zote, hivyo hadaiwi hata senti moja, hivyo unamfikisha mahakamani kumdai nini?
Eti kumbe Kagonda ni mtu safi, clean, tatizo liko wapi?
Kwa hiyo wanabodi, suala la Kagoda ni kelele tuu za mlango, hazimkoseshi mwenye nyumba usingizi.
NB. Pamoja na JF 'where we dare talk open', nawaombeni nimhifadhi source wangu kwa kutumia 'confidentiality of the source', ukiaminiwa, jiaminishe.
Naomba kuwasilisha
Pasco