Jamani tuhamie nchi ipi kupata mafunzo ya kuleta mapinduzi, mapinduzi ya kung'oa udhalimu, wizi, ubazazi na kila aina ya dhuluma katika jamii. Kwa nini kuna watu wenye hadhi zaidi ya wengine mbele ya sheria? Nani kasema Kagoda haijulikani, mbona iko wazi kabisa? Hawataki kuishitaki kwa sababu wanalindana ndiyo maana nachagiza tutafute nguvu z amapinduzi ya kung'oa udhalimu!