Misterdennis
JF-Expert Member
- Jun 4, 2007
- 1,741
- 482
kwi kwi kwi kwi kwi.... hao magest leo wanasubiri dondoo tu.. leo haingii mtu sinema bure, leo hampati kitu hata mkipanda juu ya miti... tumeweka bati leo.. babakee... JF inataka mchezo...?
Mr. Dennis ukweli ni kwamba haya ndo maisha yao na amri zao, wanatuchezea kama watt, oohh mara fedha si za umma,ooh hii hoja ni ya CCm si ya wapinzani, hivi kweli wana akili hao, badala ya kujadili nini kifanyike ili hali hii isirudiwe na na hatua gani zichukuliwe, mizee mizima inayo*&%^%^&% inasimama mbele za umma kubishania umiliki wa hoja badala ya utatuzi wa hoja yenyewe???? jinsi walivo usingizini, watu wazima na akili zao wanaweza wakaamrisha TV zizimwe.... uniujinga na utopia wa namna gani...Tuandamane ... mkuu hii ni vunja mbavu;umenifurahisha kwa hii. teh teh teh !!
Nafikiri Mkuu umeuliza swali zuri sana Dr Kimei atakuwa alikuwa na Mkono wake.
Angalia hili
01j1021795700-Holland
01j1021795701-Azikiwe
01j1021795702-Tower
01j1021795703-Kijitonyama
01j1021795704-Lumumba
01j1021795705-vijana
Kwa experience yangu hizi zote zitakuwa zilifunguliwa tawi moja tu na kuzisambaza.
sasa nadhani muda umefika wa MSEMAJI MKUU WA EPA, BWANA MKULLO atuambie huo umiliki wa MANJI kwa Kagoda uko wapi??? taarifa za Umiliki wa manji soma HAPA
Mkuu hiyo link uliyoweka mbona the page is unavailable????
Niko gizani kuhusu yaliyomo in this thread, nahitaji kuupata huo mwangaza kama chakula kwa mwenye njaa kali sana....
Haya mambo ya kuuziana kesi inatakiwa waangalie kifungu cha sheria, hili Manji alipe pesa na kifungo jela miaka 20, ili akome kununua kesi za watu.
Iko siku Manji naye ataipata. Mtakuja sikia kwamba analia oh na mimi nimetolewa kama Bangusilo. Subiri kifungo kitakapomjia maana anadhani mambo huwa hayabadiriki. Haya tusubiri Mungu wetu atakapoingilia kati na kutoa hukumu.
Mkuu Jobo na wengine...Hata mimi nimeshindwa kuifungua! Kama inawezekana icopy na kuipaste
Hii country ni skendo tupu kiasi najuta kuzaliwa hapa):
Malipo hewa kama haya mara zote yanakuwa na mkono wa kigogo au vigogo, kwani haiwezekani kiji kampuni feki tu cha hivi hivi kifanyiwe malipo makubwa hivyo bila sababu.