Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,510
- 28,416
Punguza kukurupuka...Ni kichwa chako kibovu.
Uzi ulianzishwa haukuwa na content yoyote.
Umeeditiwa baadaye.
Punguza kukurupuka...Ni kichwa chako kibovu.
Pale ng'ambo ya pili Rwanda kuna zimamoto itabidi waje kutusaidia. Kijiografia hilo eneo sio rafiki sana.Hapo mpakani sina hakika kama magari ya zimamoto na uokoaji kama yapo labda yatoke mjini au Nchi jirani.
Vyombo vya uokozi vijitahidi kupunguza athari za moto huo.
Wahanga ni: wale waliopatwa na maafa pamoja na vifo.Sio wahanga jamani ! Kiswahili sahihi ni waathirika !
Muda bado.Pole wahanga.
Weekend inaishia hamna teuzi wala tumbua?...
Mhanga ni yule anayepatwa na jambo huku akijua fika ujio wa tukio na mara nyingi hua anapanga hilo tukio kwa mfano mtu anaye kwenda kujilipua mabomu miongoni mwa watu na kufa au kuumia kwa kusudio la kulipa kisasi au kufikisha ujumbe anaotaka kwa mamlaka au upande anao sigana nao kiitikadi au mtazamo. Mfano chanya ni kama vile mtu anaye chupa majini kwenda kumuokoa mfa maji na bahati mbaya akafa yeye au wote wawili, hapa tunasema alijitoa mhanga kwenda kumuokoa mwenzie.Wahanga ni: wale waliopatwa na maafa pamoja na vifo.
Waathirika ni: wale walioguswa na athari za janga hilo kwa namna moja ama nyingine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika mkuu TIBIM manake hayo maloli yanabeba mali za mamilioni.Ni changamoto Kwa kweli nje ya mkoa,sehemu kama sehemu yeyeto yenye mafuta muhimu Magari kuwepo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata hivyo tofauti kati ya wahanga na waathirika ni kubwa sana kimantiki ukilinganisha na sio na siyo. Sidhani kama huu ni ujuaji mdogo mdogo. Samahani lakini
Uko makiniTaarifa zaidi ya hiyo hakuna? Hayo magari yalikuwa yanajiendesha yenyewe!
Sawa, siku nyingine usiwe unakurupuka, utulie upate kitu kizima. Mbio za nini!?Punguza kukurupuka...
Uzi ulianzishwa haukuwa na content yoyote.
Umeeditiwa baadaye.
Kitu ndio nini???Sawa, siku nyingine usiwe unakurupuka, utulie upate kitu kizima. Mbio za nini!?