COARTEM
JF-Expert Member
- Nov 26, 2013
- 3,598
- 3,644
Kwahiyo Rwanda wao walijuwa itatokea ndiyo maana wakaleta Helkopta kuzima huo moto?.Wewe jamaa mbona mlalamishi sana? Hiyo ajali ilipangwa itokee? Kuomba msaada in vibaya?
Acha kuonyesha upunguani wako.
Sent using Jamii Forums mobile app