Kagera, Ngara: Magari ya Mizigo 5 na Trekta 1 yateketea kwa moto Rusumo

Wanabodi
ITV Breaking News, imetangaza ajali mbaya ya lori la mafuta mpaka wa Rusomo, ambapo lori hilo limegonga gari nyingine na kulipuka, hivyo kulipua magari mengine na hivi sasa yanateketea kwa moto.
Kamanda polisi eneo hilo ameeleza hivi sasa moto unaendelea kuteketeza magari!.
Sijui kama tuna magari ya fire kule mipakani.
Taarifa zaidi kuwajia.
P
 
Wanabodi
ITV Breaking News, imetangaza ajali mbaya ya lori la mafuta mpaka wa Rusomo, ambapo lori hilo limegonga gari nyingine na kulipuka, hivyo kulipua magari mengine na hivi sasa yanateketea kwa moto.
Kamanda polisi eneo hilo ameeleza hivi sasa moto unaendelea kuteketeza magari!.
Sijui kama tuna magari ya fire kule mipakani.
Taarifa zaidi kuwajia.
P
======
View attachment 841017
 
Wanabodi
ITV Breaking News, imetangaza ajali mbaya ya lori la mafuta mpaka wa Rusomo, ambapo lori hilo limegonga gari nyingine na kulipuka, hivyo kulipua magari mengine na hivi sasa yanateketea kwa moto.
Kamanda polisi eneo hilo ameeleza hivi sasa moto unaendelea kuteketeza magari!.
Sijui kama tuna magari ya fire kule mipakani.
Taarifa zaidi kuwajia.
P
======
View attachment 841017
 
ITV Breaking News, imetangaza ajali mbaya ya lori la mafuta mpaka wa Rusomo, ambapo lori hilo limegonga gari nyingine na kulipuka, hivyo kulipua magari mengine na hivi sasa yanateketea kwa moto.

Kamanda polisi eneo hilo ameeleza hivi sasa moto unaendelea kuteketeza magari!.

Sijui kama tuna magari ya fire kule mipakani.

Wilaya haina firemen!?
Kama wapo walichukua jitihada gani ku rescue hali hiyo?
 
Back
Top Bottom