Bba !!!Pole wahanga.
Weekend inaishia hamna teuzi wala tumbua?...
Bba !!!Pole wahanga.
Weekend inaishia hamna teuzi wala tumbua?...
Acha kusoma vichwa vya habari pekee!Chanzo cha ajali ni nini??
Kuna vifo vingapi na majeruhi wangapi??
Kiswahili sahihi ni SIYO acha ujuaji mdogomdogo.Sio wahanga jamani ! Kiswahili sahihi ni waathirika !
Asante kwa kunisahihishaKiswahili sahihi ni SIYO acha ujuaji mdogomdogo.
Sio
Siyo️
Nouma sana Mkuu, hii kazia sijui itakwisha lini.Kweli mkuu
Tunapata sana shida sisi watumiaji was Dstv
Wanajf muwe mnatupasha habari motomoto za ITV ili tuende na wakati
Wanabodi
ITV Breaking News, imetangaza ajali mbaya ya lori la mafuta mpaka wa Rusomo, ambapo lori hilo limegonga gari nyingine na kulipuka, hivyo kulipua magari mengine na hivi sasa yanateketea kwa moto.
Kamanda polisi eneo hilo ameeleza hivi sasa moto unaendelea kuteketeza magari!.
Sijui kama tuna magari ya fire kule mipakani.
Taarifa zaidi kuwajia.
P
Wanabodi
ITV Breaking News, imetangaza ajali mbaya ya lori la mafuta mpaka wa Rusomo, ambapo lori hilo limegonga gari nyingine na kulipuka, hivyo kulipua magari mengine na hivi sasa yanateketea kwa moto.
Kamanda polisi eneo hilo ameeleza hivi sasa moto unaendelea kuteketeza magari!.
Sijui kama tuna magari ya fire kule mipakani.
Taarifa zaidi kuwajia.
P
======
View attachment 841017
Wanabodi
ITV Breaking News, imetangaza ajali mbaya ya lori la mafuta mpaka wa Rusomo, ambapo lori hilo limegonga gari nyingine na kulipuka, hivyo kulipua magari mengine na hivi sasa yanateketea kwa moto.
Kamanda polisi eneo hilo ameeleza hivi sasa moto unaendelea kuteketeza magari!.
Sijui kama tuna magari ya fire kule mipakani.
Taarifa zaidi kuwajia.
P
======
View attachment 841017
Hata hivyo tofauti kati ya wahanga na waathirika ni kubwa sana kimantiki ukilinganisha na sio na siyo. Sidhani kama huu ni ujuaji mdogo mdogo. Samahani lakiniKiswahili sahihi ni SIYO acha ujuaji mdogomdogo.
Sio
Siyo️
Hata hivyo tofauti kati ya wahanga na waathirika ni kubwa sana kimantiki ukilinganisha na sio na siyo. Sidhani kama huu ni ujuaji mdogo mdogo. Samahani lakiniKiswahili sahihi ni SIYO acha ujuaji mdogomdogo.
Sio
Siyo️
Ni changamoto Kwa kweli nje ya mkoa,sehemu kama sehemu yeyeto yenye mafuta muhimu Magari kuwepoHapo mpakani sina hakika kama magari ya zimamoto na uokoaji kama yapo labda yatoke mjini au Nchi jirani.
Vyombo vya uokozi vijitahidi kupunguza athari za moto huo.
ITV Breaking News, imetangaza ajali mbaya ya lori la mafuta mpaka wa Rusomo, ambapo lori hilo limegonga gari nyingine na kulipuka, hivyo kulipua magari mengine na hivi sasa yanateketea kwa moto.
Kamanda polisi eneo hilo ameeleza hivi sasa moto unaendelea kuteketeza magari!.
Sijui kama tuna magari ya fire kule mipakani.
Punguza kukurupuka...Acha kusoma vichwa vya habari pekee!
Ni kichwa chako kibovu.Chanzo cha ajali ni nini??
Kuna vifo vingapi na majeruhi wangapi??