Ngambili Ngenja
Member
- Mar 1, 2008
- 44
- 21
CCM inazidi kuburuzwa katika kata nyingi ngingi,pia baadhi ya kata ccm yashika lakini kwa upande wa chadema sehemu kubwa inaongoza
Matokeo ya Udiwani Bukoba Mjini kata ZOTE 14(official)
Kata Buhembe Diwani CCM
Kata Mafumbo Diwani -Chadema (UKAWA)
Kata Miembeni Udiwani- CCM
Kata Kagondo-NCCR (UKAWA)
Kata Bilele Udiwani -Cuf (UKAWA)
Kata Nshambya Udiwani-Chadema (UKAWA)
Kata Bakoba Udiwani - Chadema (UKAWA)
Kata Rwamishenye - CCM
Kata Nyanga Diwani -CCM
Kata Kibeta Udiwani-Chadema (UKAWA)
Kata Kashai Udiwani Chadema (UKAWA)
Kata Kitendaguro -ChADEMA (UKAWA)
Kata Hamugembe- Chadema (UKAWA)
Kata Ijuganyundo- CCM
Mafumbo sio kata is either.Kashai au.Kahororo
Mimi nipo Muleba Tibahijuka ameshindwa amekataa kusaini anasema anaenda mahakamani na bukoba mjini Kagasheki ameshindwa kwa upande wa bukoba vijijini Lweikiza(CCM) ameshinda.
Hahaaa hata asipo saini haisaidiiMuleba kusini Pro.Anna Tibaijuka anakataa kusaini!!
Bukoba vijijini sehemu za Rukoma, Mbugwe,Kikomelo......uamuzi wenu mtaujutia, kuanzia leo sitaki kusikia oooh tumeuguza Ndolage gharama ya matibabu kubwa Ndebile tunaomba mchango wako au tuuze OMWATE, mimi nasema uza tu si mmeaumua kuridhika na hizo kanga na kofia na RUBISI! Kalye am.....g@si.
Bukoba vijijini sehemu za Rukoma, Mbugwe,Kikomelo......uamuzi wenu mtaujutia, kuanzia leo sitaki kusikia oooh tumeuguza Ndolage gharama ya matibabu kubwa Ndebile tunaomba mchango wako au tuuze OMWATE, mimi nasema uza tu si mmeaumua kuridhika na hizo kanga na kofia na RUBISI! Kalye am.....g@si.
Bukoba vijijini sehemu za Rukoma, Mbugwe,Kikomelo......uamuzi wenu mtaujutia, kuanzia leo sitaki kusikia oooh tumeuguza Ndolage gharama ya matibabu kubwa Ndebile tunaomba mchango wako au tuuze OMWATE, mimi nasema uza tu si mmeaumua kuridhika na hizo kanga na kofia na RUBISI! Kalye am.....g@si.
ahahaha,kamanda punguza munkari,mie niko izimbya!mpaka sasa ukawa tumeshachukuwa kata zfatazo:
izmbya,kyaitoke,mgajwale,katoro,nyakbimbili,rubale,kyamulaile,nyakato,kasharu,ruhunga na bado matokeo yanaendelea kutoka