Nimeconfirm kutoka Kwa jamaa yuko huko anasema kuna kila dalili za kutangaza mtu ambaye hakushinda.
Nyie kenge mnatuchanganya sana maboya nyie nyambafu zenu.
Hapa kazi tu.
Huo ndio utamu na uchungu wa JF. Hata mtu akiota ndoto anaibandika hapa. Mtu akitoka ulevini, anabandika habari aliyoisikia kilabuni. Mtu akiwa na taarifa nusu ukweli, nusu udaku, zinabandikwa hapa. Sasa hivi tunaendelea na ushabiki ule ule wa UKAWA vs FICIEM hata baada ya masaa 12 vituo vya kupigia kura kufungwa!!! Ndiyo, inachanganya hadi NEC watoe taarifa rasmi.Mbona mnatuchanganya?
Kagasheki ameshinda.....Ukweli mchungu
Jamani hebu tuacheni taarifa za kinazi
Kama huna uhakika ni bora ukaweka wazi maana mnatuchanganya bana
Huyu jamaa mbona inasemekana yupo hoi hospitali na kalazwa...
Ni kweli...Wasiliana na mtu yeyote aliyepo Bukoba mjini sasa hivi...CCM wanashangilia
Nyie kenge mnatuchanganya sana maboya nyie nyambafu zenu.
Hapa kazi tu.
muleba kusin tibaijuka downmatokeo ya udiwani bukoba mjini kata zote 14(official)
kata buhembe diwani ccm
kata mafumbo diwani -chadema (ukawa)
kata miembeni udiwani- ccm
kata kagondo-nccr (ukawa)
kata bilele udiwani -cuf (ukawa)
kata nshambya udiwani-chadema (ukawa)
kata bakoba udiwani - chadema (ukawa)
kata rwamishenye - ccm
kata nyanga diwani -ccm
kata kibeta udiwani-chadema (ukawa)
kata kashai udiwani chadema (ukawa)
kata kitendaguro -chadema (ukawa)
kata hamugembe- chadema (ukawa)
kata ijuganyundo- ccm
Mbona naaskia kagasheki kapga