Kagera/Bukoba yaongoza kwa Idadi ya Maprofesa ikifuatiwa na kipande cha Mwanza Ukerewe

Kwa kweli miongoni mwa mikoa iliyopata neema ya wakoloni kujengewa mashule ilikuwa ni Kagera, Kilimanjaro na Mbeya.

Hivyo sishangai kuwepo kwa maprofesa wengi. Kipindi hicho wasukuma wengi walikuwa wanachunga n'gombe tu.

Ila siku hizi kila mkoa umeamka katika suala la elimu. Hakuna cha masai wala mngoni wote wanakuja juu.

Baada ya miaka 50 nadhani maprofesa watatoka kila mkoa. Idadi zitaendana.
ila wahaya wanaakili wametoa maTO wengi sana na mabest students vyuoni na mkoa wa kagera haujawahi kosa ten best .na To wa mwaka huu muhaya form six
 
Kwa kweli miongoni mwa mikoa iliyopata neema ya wakoloni kujengewa mashule ilikuwa ni Kagera, Kilimanjaro na Mbeya.

Hivyo sishangai kuwepo kwa maprofesa wengi. Kipindi hicho wasukuma wengi walikuwa wanachunga n'gombe tu.

Ila siku hizi kila mkoa umeamka katika suala la elimu. Hakuna cha masai wala mngoni wote wanakuja juu.

Baada ya miaka 50 nadhani maprofesa watatoka kila mkoa. Idadi zitaendana.
tazama wanafunzi vyuoni ni wangap ni wahaya bado ni wengi sana na kagera haijawahi toka ten best matokeo yoyote yale
 
ila wahaya wanaakili wametoa maTO wengi sana na mabest students vyuoni na mkoa wa kagera haujawahi kosa ten best .na To wa mwaka huu muhaya form six
Sio kwamba wahaya tuna akili kivile kuzidi makabila mengine sema huku kwetu tumekua tukakuta miongoni mwa shughuli ambazo baba zetu wamekuwa wanasifanya ni kusoma.

Ni sawa na usukumani zamani maisha nje ya ngombe na jembe sio maisha.

Halafu kitu kingine ni imani waliyonayo watu wengine juu yetu. Wanaamini tuna akili hivyo tangu tulipokuwa wadogo tulisikia "wahaya wana akili" hivyo hii ilitujenga sana.
Maana mara nyingi watu wanavyokusema ndivyo ulivyo. Hata kwa wachaga...ni hivyo hivyo tunaamini hawa watu ni matajiri...hii inampa molali ya kufanya kazi kwa bidii.

ASANTE
 
Uproffessor wao bila msaada kwa jamii yao..sion maana yake..kuna maprof..walipokuwa wanafundisha..walikuwa straight..wakapewa madaraka..wakalewa..wanapindindisha facts waz waz..mstake nipotee..naishia hapa!
 
Ni kweli Wahaya wana Maprofesa wengi ila wengine wamepeana tu hapo bila kuwa na sifa thabiti, kwasababu waliokuwa wanawa award ni wahaya mwenzao tangu mwanzoni...na Wahaya wana ukabila sana.

wabillah Tawfiq,
 
Ww ni MPUMBAVU kwanini usiseme ikifuatiwa na MWANZA mpk useme kipande cha mwanza wakat kule umesema kagera
 
Kuna Publication iliyoeleza hotuba ya Enock Massawe akiwa mkuu wa Mkoa wa Kagera akieleza idadi ya Maprofesa Tanzania tokea imepata uhuru kufika 500 lakin kagera ina Maprofesa zaid ya 150 na 70% ya Maprofesa haob wakitokea Wilaya ya Missenye Tarafa Kiziba kwa (NSHOMILE) kifuatiwa na Wilaya ya ukerewe ambayo ina Maprofesa 24, wakifuatiwa na Kilimanjaro 21 Maprofesa tu
Na mikoa mingine mingine

Nikafanya kauchunguzi kwa Haraka nimepata hawa hapa, changamoto ni kwamba kuna Maprofesa wahaya wasiotumia majina ya kihaya, hivo hao sikuweza kuwatambua haraka,

Waliotambulika haraka ni hawa
1. PROF. BARONGO JUSTUS O
B.Sc. (UoN), M.Sc. (Queens), Ph.D. (McGill).
Email: jbarongo@uonbi.ac.ke
2. Professor L Barongo
Community Medicine: Professor
Contact Details:
(+264 61) 2065012
lbarongo@unam.na
3: Professor Feliciano Barongo mzumbe University
4: Prof Silas Lwakabamba is a Rwandan professor of Tanzanian
5: Professor Rwekaza Mukandala
6: Professor John Rwomushana
7: Professor Anna Tibaijuka
8: Professor Kesho Mushahara
9: Professor Kazaula
10: Professor Tibageza
11: Professor Delphin Rwegadsira
12: Professor Justinian Rweyemamu
13: Professor Letice Rutashobya
14: Professor Clavery Mtesigwa UDSM
15: Prof Mwesiga Baregu
16: Prof Mushumbusi kibogoya UDSN
17: Professor mugyabuso Mulokozi UDSM
18: Professor Faustine Kamuzora
19: Professor Aurelia Ngirwa
20: Professor Kamuntu
21: Professor Chris Kamuzora
22: Professor Rwelamila NRF
23: Professor mark Rweyemamu Galv
24: Professor Kyaruzi SUA
25: Professor Joseph Kahamba
26: Prof Sylvest Kajuna kairuki University
28: Professor Erasmus Kaijage
29: Professor Hoses Rwegoshora
30: Professor Kami S P Rwegasira
31: Filbert Rwehumbiza
32: Professor Kamala
33: Professor Kairuki
34: Theonest Mutabingwa
35: Professor Mwemezi Rwiza Nelson Mandela University
36: Professor Kato Rugangila,
37: Professor Tumwesige
38: Professor Godwin Kaganda
39: Professor John Ruhangisa
40: Professor Benson Bana
41: Professor Rwegarulila
42: ProfessorJamindu Katima
43: Professor Batamuzi
44: Professor Mutayoba
45: Professor Bitegeko
46: Professor Jonathan Kabigumila
47: Professor Mutabingwa Theonest Kahangwa ,
48: Professor Kamazima M M Lwiza
49: Professor Joseph Buchweishaija
50: Professor Emanuel Babyegeya
51: Professor L.K Rutasiitara
52: Professor Richard W Rwechungura
53: Professor Egydius R Rwenyagila
54: Professor Benezet Mtayoba SUA
55: Professor B. A Rwezaura UDSM
56: Professor R.C Ishengoma
57: Professor Tibandebage
58: Professor W . Rugakingira
59: Professor Buberwa
60: Professor C. S Binamungu Mzumbe
61: Professional prof Bonaventure Rutinwa
62: Professor Alex M Mtalemwa Harvad University
63: Professor Deogratius Rutatora SUA
Orodha ni ndefu sana

View attachment 866415


Britannica
Duuuuh Nshomire bwana
 
Wahaya sifa tu na kuna ukabila mkubwa sana kwenye kupeana uprofessor, kuna Dr mmoja amesota miaka 20+ hata u associate professor hana akaamua kuachana nao, lakini angekua muhaya angeshakua prof muda mrefu.
Kwani wanaohama mtu kupewa uprofesa ni Wahaya?
Kama ni Wahaya, nani aliwaweka hao Wahaya? Huyo aliyewaweka hao Wahaya alitumia kigezo gani kuwaweka hao Wahaya waliomnyima jamaa uprofesa?
Mbaazi ikikosa maua husingizia jua.
 
Uproffessor wao bila msaada kwa jamii yao..sion maana yake..kuna maprof..walipokuwa wanafundisha..walikuwa straight..wakapewa madaraka..wakalewa..wanapindindisha facts waz waz..mstake nipotee..naishia hapa!
Usikalili mkuu
 
Back
Top Bottom