Mkuu, mbona sasa hukutupa updates kuhusu ujenzi wa stend mpya hapo Bukoba???? Au zilkua ni propagandatu!!?Wikiendi hii ntawajulisha nini kinaendelea katika ujenzi wa stendi mpya
Wala sio propaganda mkuu maana mimi sio mwanasiasa. Ki ukweli nilikwenda kuangalia kinachoendelea ila kwa bahati mbaya nilikuta hamna kinachoendelea ndo maana nilikata hata tamaa ya kuleta mrejesho. Kwa mwendo huu hii stend hitakamilika mapema. Lakini niwalaumu viongozi wote wa manispaa kwa sababu wakati inaanza kujengwa walijinasibu kwamba hela ipo kwa hiyo ujenzi utakamilika mapema lakini kinachoendelea ni tofauti kabisaMkuu, mbona sasa hukutupa updates kuhusu ujenzi wa stend mpya hapo Bukoba???? Au zilkua ni propagandatu!!?
Kwahyo inamaanisha kwamba mji wa bukoba hauna mchango wowte katika pato la serikali au!! Maana ni aibu kukosa stendi, vip hiyoramani ya stend yenyewe ilokua ikiendelea kujengwa, ni stendi stendi kweli ya maana au ndo yale yale kama ile ya zamani ambayo bado kwa sasa ina tumika, utadhani ni kibaraza cha nyimba kwenye mji wa mtu flani!!!Wala sio propaganda mkuu maana mimi sio mwanasiasa. Ki ukweli nilikwenda kuangalia kinachoendelea ila kwa bahati mbaya nilikuta hamna kinachoendelea ndo maana nilikata hata tamaa ya kuleta mrejesho. Kwa mwendo huu hii stend hitakamilika mapema. Lakini niwalaumu viongozi wote wa manispaa kwa sababu wakati inaanza kujengwa walijinasibu kwamba hela ipo kwa hiyo ujenzi utakamilika mapema lakini kinachoendelea ni tofauti kabisa
Omg! hiyo greenish picha ya kwanza


Iko sehemu gani hapo BK mjini?Hiyo bukoba Vive beach ni kadogo lakini Kamasheheni vitu kibao kuliko beach kibao za Tz
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli ulikula bata si mchezoNgoja nkupandishie zangu za bukoba
Nilidhuru wakati fulani....kiukweli ni enjoy
Ngoja tu share
Ova
View attachment 1073564View attachment 1073567View attachment 1073568View attachment 1073569View attachment 1073572View attachment 1073574View attachment 1073577View attachment 1073578View attachment 1073579View attachment 1073580View attachment 1073581View attachment 1073583View attachment 1073590View attachment 1073592View attachment 1073593View attachment 1073594View attachment 1073595View attachment 1073597View attachment 1073599
Sent using Jamii Forums mobile app
Ramani na ukubwa wake sio mbaya. Hizi halmashauri zetu wala sio kwamb zinakosa mapato kivile kwa sababu hata taarifa ya Waziri wa tamisemi mwezi jana hakuna hata halmashauri moja ya mkoa wa Kagera imefanya vibaya, mfano ni wilaya ya muleba mwaka 2017/18 imekusanya zaidi ya bilioni 3 lakin bado stend haipo kwenye mipango yao. Lakini ukiangalia sasa hivi muleba wanajenga barabara za mitaa kwa Rami lakini stend haipo kwenye mipango yao wakat hizi stend zinachangia mapatoKwahyo inamaanisha kwamba mji wa bukoba hauna mchango wowte katika pato la serikali au!! Maana ni aibu kukosa stendi, vip hiyoramani ya stend yenyewe ilokua ikiendelea kujengwa, ni stendi stendi kweli ya maana au ndo yale yale kama ile ya zamani ambayo bado kwa sasa ina tumika, utadhani ni kibaraza cha nyimba kwenye mji wa mtu flani!!!
Stend ya bk magari kampuni moja ya princess mulo ilikua inajaa hadi mengine yanapaki nje, na hii ni changamoto kubwa sana,
Nabaki nikijiuliza kila mda, hiviii na hili nalo mpaka lisubirie serikali kuu jamani!! Mkoa mzima wa kagera hakuna wilaya yenye stendi ya maana, kote vumbi tupu, mfano ni muleba, karagwe, biharamlo, nakadharika.... Au mkoa huu hauna vyanzo vya mapato vya kujenga miundo mbinu?? Serikali za mitaa zinafanya kazi gani hapa!!!!
Nashauri Zichunguzwe!
Mmh! Mkuu kwanza niseme sawa asante kwa taarifa, lakin pia hiyo mleba naomba kujua ni barabara zipi hizo za mitaani zinazo jengwa kwa kiwango cha rami!!!? Na je ujenzi umeanza lini labda kwa mujibu wa muwakilishi aliye toa hizo taarifa!Ramani na ukubwa wake sio mbaya. Hizi halmashauri zetu wala sio kwamb zinakosa mapato kivile kwa sababu hata taarifa ya Waziri wa tamisemi mwezi jana hakuna hata halmashauri moja ya mkoa wa Kagera imefanya vibaya, mfano ni wilaya ya muleba mwaka 2017/18 imekusanya zaidi ya bilioni 3 lakin bado stend haipo kwenye mipango yao. Lakini ukiangalia sasa hivi muleba wanajenga barabara za mitaa kwa Rami lakini stend haipo kwenye mipango yao wakat hizi stend zinachangia mapato
Bata langu 1 huwa linakuwaga#to the fullestKweli ulikula bata si mchezo
Wahaya bwana, yaani unapost nyumba za watu wengine kwa mbweeeeembwe wakati babako mzazi aliezeka ya kwenu na majani ya mgomba.
41.7% ya watoto chini ya miaka 5 mkoani Kagera wamedumaa. Na wao wanaishi kwenye nyumba hizi ulizopost?




Palipo matajiri hata maskini wapo, vip hiyo ripoti ni reseach ulofanya wew au!! Vipi kuhusu ugogoni watoto wanaishi vipi?? Vip kuhusumikoa mingine je?? Hata india wapo mkuu. So hiyo si hoja yenye mashiko, kimsingi, hizi nchi ni za dunia ya tatuNaona...hiyo beach ulipopiga picha panaitwaje jina na ni karibu na kwa wapi kutokea bukoba mjini stendi?...maana kuna moja nilionyeshwa ni karibu na stendi kulikuwa na wahuni kibaooBata langu 1 huwa linakuwaga#to the fullest
Ova
Sina shida na yeyote, namsaidia tu Bwenga kuweka rekodi za utalii sawa. Kuna mtu anateseka?Palipo matajiri hata maskini wapo, vip hiyo ripoti ni reseach ulofanya wew au!! Vipi kuhusu ugogoni watoto wanaishi vipi?? Vip kuhusumikoa mingine je?? Hata india wapo mkuu. So hiyo si hoja yenye mashiko, kimsingi, hizi nchi ni za dunia ya tatu
Sio hio Tu mkoa wa kagera ni wa tatu Kwa umaskini ripoti ya 2012 inayoongoza na mhaya kakwesigabo.akili inatumika Sana kwenye ripoti hizi na inaingiliana na siasaWahaya bwana, yaani unapost nyumba za watu wengine kwa mbweeeeembwe wakati babako mzazi aliezeka ya kwenu na majani ya mgomba.
41.7% ya watoto chini ya miaka 5 mkoani Kagera wamedumaa. Na wao wanaishi kwenye nyumba hizi ulizopost?