Surya
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 8,378
- 12,573
ushirikina tu hapo, madereva utawalaumu bure.Nyie madereva Ni kwanini huwa mnahama upande wa barabara hasa kwenye Kona Kali ?
Yani unajuwa kabisa kwamba Kama Kuna mtu anakuja mtagongana sababu upo upande wake